FOR SALE: BEAKING OVEN


Mpya tangu inunuliwe ina miezi 4.

Bei: 2,300,000

Inauwezo wa kuoka mikate mpaka : 25 kwa dakika 45

Cakes queen cakes: Amsini(50) kwa Dakika 25

Phone: 0752366770

0 comments:

News: Denzel's penis unpacked


Trust Denzel to turn smut into something resembling a motivational quote.

After raising eyebrows and temperatures in the Diamonds House with his penis avatar, Denzel took to the Diary Room to break down the work of art in detail.

The Ugandan, who has spent most of his stay in the House entertaining his fellow Housemates with silly antics, explained the penis avatar in detail. "It's the male reproductive organ in its full glory. It serves as a reminder that no matter how high you get in life, never forget the people you started off with, even if they are nuts", he said, a big smile plastered on his face.

When he is not creating penis avatars, Denzel finds time in his busy schedule to walk around the House semi-naked.

We wonder who Denzel will present his penis avatar to tomorrow during the Task Presentation.

Which Contestant would you like to see packing their bags this Sunday and who deserves to stay?

0 comments:

In Kampala: UPDF young guns replace old guards


At least 11 newly promoted Ugandan army officers, including the incoming Chief of Defence Forces, Gen Katumba Wamala, were on Monday decorated at Mbuya military headquarters in Kampala.
The Inspector General of Police, Gen Kale Kayihura, was also decorated at a colourful function widely seen as the beginning of young army officers taking over from the old guards.
Top military generals passionately talked about the need to maintain cohesion in the UPDF and warned against intrigue and egos in the Force, which they say would cause turmoil.
Gen Elly Tumwine, a senior member of the UPDF High Command, the highest army decision making body, and also the army representative in Parliament, told the newly-promoted officers to avoid working in isolation.
“Every moment in our struggle has been a moment to move forward. But when individual egos override the common good, that’s when we have turmoil. In the bush (the 1981 to ’86 guerrilla that brought Museveni to power), we had revolutionary methods of work and it helped us because we had two groups of those who were seen as intellectuals, Gen. Tumwine said.
“ These wanted to be intelligence officers, political commissars and be the ones to make decision while the other group was commanders going to the front line.  I normally see it around even now. But we were able to move forward. You must change you mindset and attitude,” the General who shot the first bullet in the launch of the struggle at Kababamba said.
President Museveni reshuffled the top UPDF army officers including the outgoing CDF, Gen Aronda Nyakairima who has been moved to Internal Affairs Ministry.
The reshuffle comes just after a letter written by Gen David Sejusa calling for an investigation into reports that certain officials are assassination targets for being opposed to “Muhoozi Project” kicked up a storm. “Muhoozi Project” is a scheme allegedly planned by President Museveni to have his son Brig Muhoozi Kainerugaba succeed him.
But Gen. Katumba said UPDF is united and cohesive and warned that he will not compromise on the discipline in the Force.
“UPDF is a strong because of discipline and I will not compromise during my tenure,” he said.
State minister for Defence Gen. Jeje Odong, said: “A young generation of army officers” is taking over from the old guards.
“Some of us get threatened by that kind of thing. But an institution that does not renew itself has a problem. We are here to see young officers taking over from the old ones in order to maintain life, rigorousness and relevance,” he saidThe other officers who were decorated include the new deputy CDF, Gen Charles Angina; Commander Land Forces, Maj Gen David Muhoozi; the joint Chief of Staff, Maj Gen Wilson Mbasu Mbadi and others.

0 comments:

Diary: Big Brother Hakeem in the House

 
Have you ever wanted to put a face to Big Brother’s smooth sultry voice? What if Biggie was a tall, dark and handsome young model?

Hakeem made the fantasies’ of many women around the continent come true this evening. During his Diary session, earlier on, the Ruby Housemate showed that he is a man of many talents. Not only is he good looking but he also can do an uncanny impersonation of Big Brother’s beloved voice.

“This is Hakeem, Big Brother I am here,” he said in Biggie’s low tone. “Not really,” Big Brother answered back, jokingly. Biggie was clearly taken aback and impressed by the spot on parody as he praised the Zimbabwean, saying: “That’s a good impression”.

The Ruby looked very proud of himself for getting Biggie’s stamp of approval and he beamed a million dollar smile.

Watch Hakeem's impersonation Big Brother below and tell us if you think he sounds like Biggie.

0 comments:

In BBA: Task: Let’s have a quickie


Can two minutes really change your life? That is what the Diamonds and Rubies had the chance to find out this evening.

As part of this week’s speed dating Task, the Housemates headed out in the garden where they were greeted by a candlelit table. On one side of the table were seven hearts indicating where the ladies should sit. On the opposite side of the table were seven roses indicating where the gents were to be seated.

Every guy and girl had a chance to have a two minutes long date with each other. At the end of the date the females gave each male a rating out of ten, one being bad and ten being good. Diamond House ladies’ men, Bolt and Denzel looked to be having the women eating out of their hands. In between his dates with the other ladies, Bolt still found the time to squeeze in some kisses with his main squeeze Betty.

During her mini date with Denzel, Huddah revealed that she wants a man with money, saying “I am gold digger,” she said. When he queried her further on this, the young Kenyan quickly retracted the statement and said that she was just joking. Hmmm… Really, Huddah?

Meanwhile over in the Ruby House ‘Mr Nice Guy’ Oneal showed his tender side to the ladies by talking about his son and he also shared that he is looking for a religious woman. Big baller, LK4 turned on the charms with his American accent and bombastic words.

But unfortunately for the Housemates they will have to wait until tomorrow to find out the ladies’ scoring of the guys are.

Which of the guys do you think will get the highest scores?

0 comments:

Lady boss aanza vituko ndani ya Jumba la Big Brother

As the service went on, the Rubies cute lass was heard asking for permission from Denzel to fart, who again with no hesitation permitted her to go ahead! Was this an obsession with the service or something else?….Anyway, its Denzel to tell us because it is confusing; You are providing a free service and you at the same time let the bad air released to you!

0 comments:

Muuza Bangi amchoma Kisu Polisi


KIJANA mmoja mkazi wa Kurasini jijini Dar, Francis Huruma maarufu kwa jina la Big anayedaiwa kuuza madawa ya kulevya aina ya bangi, amemchinja polisi mwenye namba H.617 Anthony Pasco (22).
Tukio hilo la aina yake lilitokea hivi karibuni katika Uwanja wa Mpira wa Miguu wa Ugimbi uliopo Kurasini, Dar.
Mbali na kumchinja kwa kisu polisi huyo shingoni na kutofanikiwa kumuua kama alivyokusudia, Big pia alimjeruhi vibaya polisi mwingine mwenye namba H.334 Akili Mlawa (23) kwa kisu mguuni na mkononi.
Polisi wote waliopatwa na majeraha wamelazwa katika Hospitali ya Jeshi la Polisi, Kilwa Road, jijini Dar.
Raia walioshuhudia tukio hilo, walimvamia Big kisha wakamshushia kipigo na baadaye akafariki dunia wakati akitibiwa katika Hospitali ya Temeke, Dar.

0 comments:

Biashara ya wachina yashamiri sasa ni ukahaba



Makahaba hawa wamenaswa maeneo ya Jolly wakiwa katika zoezi la kujiuza. Biashara ya kichina inakita milango yote hapa Dar es Salaam.

0 comments:

Producer Mswaki Aimba kama Ngwear Kumuenzi-Sikiliza Wimbo Hapa...New Ngwear In the Making

Huu Wimbo Ameimba Producer wa mziki anayejulikana kwa jina la Mswaki Kutoka Studio ya Black Curtains....Ameimba kama Marehemu Ngwear Akiimba baada ya Kifo chake...Sikiliza Hapa chini: Big up Sana Mswaki

0 comments:

Je huyu ni Baba, Boyfriend, Mume au? Habari ndiyo hiyo



0 comments:

Wassira amtaka Sitta "kujiuzuru".

Wassira amemwambia Sitta "kama unaona serikali inaendeshwa kwa rushwa jiuzuru", akaendelea kusisitiza, "huwezi kuwa kwenye serikali hiyo hiyo bado unaisema ni serikali ya kifisadi wakati na wewe ni sehemu ya serikali."

Wassira pia aliongeza yafuatayo, "huwezi kuisema serikali vibaya wakati na wewe ni sehemu ya serikali hiyo, vinginevyo ndugu Sitta aachie ngazi la sivyo huu utakuwa utapeli wa kisiasa".

Aidha, katika kuimalizia hoja yake hii aliuliza swali, "samaki mmoja akioza, wote wanaoza, sasa yeye (akimaanisha Sitta) atasalimika vipi?"

My take;

Mhe. Sitta nadhani ana hitaji kukopeshwa busara kidogo, katika hatua hii huwezi kujifanya una chukizwa na madudu ya serikali ambayo kwa kipindi chote hiki amekuwa akiitumikia, amekuwa sehemu ya serikali hiyo na kama akisema kuna madudu, na yeye tuseme ni miongoni mwa wazalisha madudu hayo.

Mhe. Sitta, kiu ya urais isikufanye uonekane kituko mbele ya watanzania, kuwa mpole na usubiri wakati muafaka, kwani tabia hizi za kuropoka ropoka ndani ya CCM hatunazo, tuwaachie hii tabia wasaka dola bila mbinu (CHADEMA).
TOA MAONI YAKO HAPA

0 comments:

Inatosha Kuwa Peke yangu Natafuta Mwanaume Mwaminifu Mcha Mungu

  Natafuta yule mwanaumealiye mwaminifu, mwenye mapenzi ya dhati, aliyemcha Mungu kikweli kweli
sio mnafiki wala mpenda anasa za dunia hii ambaye atakuwa tayari kupima vvu kabla ya ndoa
anayemujua Mungu wake kweli aliye na bidii katikak kazi, biashara au shughuli yoyote ile.
asisite kuniPM nami nitawasiliana nae. Kwani nimechoka na maisha ya ubachelor na
sasa naona basi niwe na mwenzi wa maisha. INATOSHA KUWA PEKEE YANGU
mwenye sikio la kuisikia asikie kilio changu leo. Sitanii niko seriou na
jambo hili jamani...Acha E-mail ana Simu Ikiwa bahati yako nitakupigia mie mwenyewe..

0 comments:

Majambaz wakiwa hoi baada ya kupigwa kikali Mwanza leo asubuhi hii.


TOA MAONI YAKO HAPA

0 comments:

Taarifa ya Jeshi la Polisi Kukanusha Taarifa ya gazeti la Jamhuri Kuhusu Muuaji wa Kamanda Barlow

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
JESHI LA POLISI TANZANIA

Anuani ya Simu “MKUUPOLISI” Ofisi ya Inspekta Jenerali wa Polisi,
Simu : (022) 2110734 Makao Makuu ya Polisi,
Fax Na. (022) 2135556 S.L.P. 9141,

Unapojibu tafadhali taja: DAR ES SALAAM.


28 MAY, 2013


TAARIFA YA JESHI LA POLISI KWA VYOMBO VYA HABARI


Jeshi la Polisi nchini linapenda kutoa ufafanuzi juu ya taarifa ambayo imekuwa ikiripotiwa katika gazeti la Jamhuri la siku ya Jumanne tarehe 21 – 27 Mei, 2013 toleo No. 81 na la tarehe 28 Mei -Juni 3, 2013 toleo No. 83, yenye kichwa cha habari “MTANDAO WA MAUAJI YA BARLOW WATAJWA NA IGP MWEMA AMPA HIFADHI MUUAJI WA BARLOW”.

Taarifa hiyo siyo sahihi, kwa sababu mtu aliyehojiwa na gazeti hilo anayejulikana kwa jina la Mohamed Edward Malele ni mgonjwa wa akili ambaye mpaka hivi sasa amelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu. Mara kadhaa mtu huyo amekuwa na tabia ya kuwatuhumu viongozi na watu mbalimbali juu ya tuhuma zisizo na ukweli wowote kutokana na ugonjwa wake wa akili.

Jeshi la Polisi nchini linatoa rai kwa gazeti la Jamhuri kuwa makini na habari wananzoziandika ambazo hazijafanyiwa uchunguzi wa kutosha zenye lengo la kupotosha jamii.

Imetolewa na:-

Advera Senso-SSP
Msemaji wa Jeshi la Polisi.
TOA MAONI YAKO HAPA

0 comments:

Ilala yatoa siku saba ghorofa litoke

Halmashauri ya Manispaa ya Ilala imetoa notisi ya siku saba kwa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) pamoja na mmiliki wa jengo la ghorofa 16 lililopo Mtaa wa Indira Gandhi mkabala na Msikiti wa Shia Ithnasheri kulibomoa ndani ya kipindi hicho.
Ghorofa hilo linalomikiwa na mfanyabiashara maarufu nchini Ally Raza linabomolewa baada ya kuanguka kwa jengo pacha la aina hiyo Machi 29 mwaka huu na kusababisha vifo vya watu 36, kujeruhi 18 na uharibifu wa mali.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini jana, Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa alisema kuwa, notisi hiyo imeanza Mei 27 hadi Juni 3 mwaka huu.
“Tayari tumewakabidhi NHC na Ally Raza mmiliki wa jengo la ghorofa 16 notisi ya siku saba ya kumtaka kubomoa jengo hilo ndani ya siku saba na asipotekeleza hatua zaidi za kisheria zitachukuliwa,” alisema Silaa.
‘‘Kwa mujibu wa sheria ya mipango miji, mmiliki halali wa kiwanja hicho ni NHC, na wao ndiyo waliomuuzia Raza eneo hilo ili aweze kujenga ghorofa’’ alisema.
Kwa mujibu wa Silaa, kutokana na ramani iliyotolewa na mipango miji, maeneo yote ya Kisutu yanatakiwa kujengwa ghorofa 10 na si vinginevyo, lakini cha kushangaza, Mhandisi kutoka Bodi ya Wahandisi, msanifu majengo na makandarasi wameweza kusimamia ujenzi wa ghorofa 16 kinyume na taratibu.
Alisema, kitendo cha Manispaa hiyo kuingia kwenye lawama ambazo pia zinawahusu NHC, wahandisi, wasanifu majengo na wakandarasi kwa kuidhinisha ujenzi wa ghorofa 16 wakati eneo hilo linaruhusiwa kujengwa ghorofa 10 ni sawa na kutowatendea haki.Alisema kutokana na hali hiyo kila mmoja anapaswa kuwajibika kulingana na nafasi yake ili siku nyingine waweze kufuata sheria na taratibu zilizopo wakati wa kuidhinisha majengo nchini.
Alisema, kutokana na hali hiyo wameiomba tume iliyoundwa kwa ajili ya kuchunguza ghorofa hiyo kutoa ripoti mapema ili waweze kuijadili na kutoa mapendekezo yao.
Hali hiyo inatokewa wakati Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Profesa Anna Tibaijuka juzi wakati wa kuwasilisha makadirio ya bajeti ya Wizara yake, alizitaka Manispaa ya Ilala, NHC na mmiliki wa ghorofa hilo kulibomoa ghorofa hilo.
TOA MAONI YAKO HAPA

0 comments:

P-Funk Atoa Ujumbe Mzito Kuhusu Kifo cha Mangwear Ailaumu Clouds Fm



Muda mfupi uliopita djchoka amepokea simu kutoka kwa Producer mkongwe hapa bongo anayejulikana kwa jina la P Fuck Majani na kumuuomba aipokee msg hii hapa chini na kuwaomba watanzania walijue hili na baadae atatoa barua rasmi.

0 comments:

Breaking News:Maskini Msanii M 2 the P Aliye Kuwa na Ngwear Naye Afariki Dunia

Taarifa kutoka vyanzo mbali mbali zinasema kuwa M TO THE P ambae walikuwa pamoja na Ngwair South Africa na walipelekwa wote hospitali ya ST. Hellen huku yeye akiwa bado ana hema, leo asubuhi taarifa zinasema nae amefariki.
TOA MAONI YAKO HAPA

0 comments:

Nigeria: Lagos Pastor beaten to Coma after condoms fell out of his Bible during Bus preaching



0 comments:

Leo mahakamani "huku Lady JD na Ruge" Kule "Lwakatare na Kesi ya utekaji"

WAKATI kesi ya Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare ikitarajiwa kusikilizwa leo Mei 27 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Kesi ya msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Judith Wambura (Lady JayDee) pia inatarajia kusikilizwa tarehemu hiyo katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
  
Kesi hizo zinatarajia kuvuta hisia za watanzania kutokana na mvuto na aina ya kesi hizo,Lwakatale atapanda kizimbani kwa mara nyingine huku akitarajia kupata dhamana ya kesi yake baada ya Mahakama Kuu kumfutia mashtaka ya Ugaidi yaliyokuwa yakimkabili awali na kubaki na shitaka la kula njama ya kumdhuru Denis Msacky ambayo inadhaminika. 
Kwa upande wa Lady JayDee anatarajia kupanda kizimbani kwa mara ya kwanza baada ya kukabidhiwa hati ya mashtaka na kutakiwa kurudi mahakamani hapo kesho mei 27 .
Waandishi wa habari walishuhudia barua kutoka mahakamani hapo pamoja na nyakara zilizochapishwa na vyombo mbalimbali vya habari zikiwamo blogu zilizoelezea ugomvi wake kati ya Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga na Mkurugenzi wa Utafiti na Matukio Ruge Mutahaba.
“Hili ndilo shtaka lenyewe kwa hivyo sisi hatuwezi kusema chochote kwa sasa tunaelekea kwa mwanasheria wetu ili kuanza kuishughulikia kesi hii,” alisema Gadna Habash mume wa mwanamuziki huyo. 
Kabla ya kufika mahakamani hapo mchana, mwanamuziki huyo alitoa mada katika jukwaa la sanaa Basata ambako alizungumzia changamoto nyingi zilizopo katika kufikia mafanikio kwenye sekta ya muziki.
 
Wakati kesi hiyo inatarajiwa kuanza kusikilizwa Mei 27, siku nne baadaye Jaydee anasherehekea miaka yake 13 tangu aingie rasmi katika sekta ya muziki.


0 comments:

Samwel Sitta afunguka marafiki wa kweli wanaoitetea nchi ya Tanzania


Kwa ufupi
  • Waliotajwa kuwa ni marafaki wa Sitta ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe, Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe.

Mwanza. Katika kile kinachoonekana ni mbio za urais 2015, makada wanne wa  Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameunganisha nguvu tayari kwa kinyang’anyiro hicho.
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta ni kama ametangaza timu yake ingawa si rasmi pale alipoweka hadharani majina ya makada hao akisema kuwa ni marafiki zake wa karibu ambao wana mikono misafi.
Sitta ambaye anatajwa kuwa  mmoja wa makada watakaowania urais 2015, aliwataja marafiki zake hao juzi wakati wa harambee ya kuchangia ujenzi wa Kanisa Katoliki la Josephen Bakita, Parokia ya Igoma Mwanza.
Waliotajwa kuwa ni marafaki wa Sitta ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe, Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli na Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe.
“Membe, Magufuli na Mwakyembe ni marafiki zangu wa karibu ambao wana mikono safi na wameniunga mkono siyo wengine walafi, waongo wanaotutumbukiza katika mikono ya Dowans na Richmond ambao siyo waadilifu na wazalendo;
“Tuwakatae maana ukiwapa madaraka wataweka vibaraka wao na nchi itaelekea pabaya na hiyo ndiyo inaweza kuzusha vurugu kwani ukimnyonya maskini na akiona unamnyonya atataka kufurukuta...Huo ndiyo mwanzo wa vurugu, nchi haiwezi kutulia kwa hiyo tuwakatae watu wa namna hiyo,” alisisitiza Sitta.
Hii ni mara ya kwanza kada huyo wa CCM ambaye amewahi kuliongoza Bunge la Jamhuri wa Muungano kuwataja hadharani marafiki zake hao ambao wamekuwa na ushawishi mkubwa katika duru za kisiasa nchini.
Katika harambee hiyo Sitta aliwasilisha zaidi ya Sh25 milioni ambazo alisema kati ya fedha hizo Sh5 milioni zilitoka kwa Waziri Membe, Sh5 milioni zingine zilichangiwa na Dk Mwakyembe na Dk Magufuli huku yeye (Sitta) akichangia Sh5 milioni  na pesa zilizobaki zilichangwa na wabunge wanaowaunga mkono.
Sitta alitaja viongozi wengine ambao wanashirikiana vizuri na wamemsadia katika harambee  hiyo kuwa ni Anna Kilango, Merry Nagu, William Geleja, Aden Rage, Catherin Majige, James Lembeli, Mark Mwandosya pamoja na Victor Mwambalaswa ambao wao wote walimchangia Sh500,000  kila mmoja huku Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu akitoa Sh1 milioni.
Awali Sitta aliwataka Watanzania kuthamini kura zao ili wasiangukie katika mikono ya viongozi mafisadi.
MWANANCHI

0 comments:

Upigaji huu wa picha wa Lulu, ni wazi alipokuwa lupango alimisi sana kupiga picha




0 comments:

STL na mchekeshaji Churchill wa Kenya Leo kuperform kwenye ufunguzi wa Big Brother Africa “The Chase”



Yakiwa yamebaki masaa machache kabla lile shindando kubwa la Big Brother Africa ambalo kwa mwaka huu limepewa jina la “The Chase” kuzinduliwa rasmi leo (May 26) nchini Africa Kusini, tuna hakika tayari mashabiki wanajiandaa kwa kuhakikisha wamelipia decoder zao.

Wasanii wanaotegemewa kushiriki Katika ufunguzi wa reality show hiyo kubwa Africa hiyo kesho ni pamoja na rapper wa kike wa Kenya mwenye makazi yake nchini Uingereza kwa sasa (baada ya kuishi Norway kwa muda mrefu) Stella Mwangi aka STL ambaye ataongozana na mchekeshaji maarufu wa Kenya, Churchill.

Wasanii wengine wanaotegemewa kuperform katika show hiyo ya ufunguzi ni Mafikizolo kutoka Africa Kusini, Don Jazzy, D’Prince na Wande Coal kutoka Nigeria.

Housemates 28 wanaowakilisha nchi mbalimbali za Africa ikiwemo Tanzania, wanategemewa kujulikana katika show hiyo ya msimu wa 8 wa Big Brother Africa itakayoonekana live katika nchi zipatazo 50 za Africa kupitia Africa Magic, AfricaMagic Entertainment, AfricaMagic World, Dstv channel 197 and 198. pamoja na kurushwa live katika mtandao hiyo kesho Jumapili (May 26).


Mshindi wa BBA ‘The Chase’ anategemewa kuondoka na kitita cha $300,000 baada ya siku 91 za kukaa katika jumba hilo lenye raha za kila aina.
TOA MAONI YAKO HAPA

0 comments:

Breaking News: BBA ‘The Chase’ Kicks Off!

Confirmed, Big Brother Africa ‘The Chase’ has finally kicked off with some outstanding performance from South Africa’s multi-award winning artiste Mafikizolo and a grand entry from host IK who came to the show on a bike.
The show also started with a minute of silence in remembrance of departed Stargamer Nigeria’s Goldie Harvey who passed on in February this year.
Tumi Moroke and funnyman Churchill also put up a great performance. They both headed straight to the ‘The Chase’ house and started getting around, making all the funny moves and all.
Housemates will be revealed in next few minutes, just keep it here for all the latest updates on ‘The Chase’. We have not yet had of the much waited voice from our beloved Biggie, however, as soon as the housemates make it to the house, we shall have to hear loud and clear.
-By- Joe Owakabik Omukujjukujju
TOA MAONI YAKO HAPA

0 comments:

Baada ya Sintah, Nisha naye aogopa kumtangaza mpenzi wake. Aogopa wadada wa mjini

Katika kile kinachoonekana kama mwendelezo ama tabia za wanawake kuibiana wapenzi hasa hawa wenye majina makubwa nchini, mwigizaji wa bongo movies Salma Jabu al maarufu kama Nisha, naye amegoma kumtaja mpenzi wake hadharani kwa madai ya kuwa anaogopa kunyang'anywa tena mpenzi wake huyo kama ilivyotokea alipokuwa na mpenzi wake wa zamani "Nay wa Mitego''-msanii maarufu wa bongo fleva nchini amabye naye kipindi cha nyuma likuwa mwigizaji.

Akiongea na gazeti moja maarufu la udaku nchini, Nisha amesema kuwa amejifunza kwa yaliyomtokea na sasa yupo mwangalifu sana na penzi lake, kwani anajua kina dada hawa hawatasita kufanya lolote ili mradi wakuchukulie mpenzi wako na kukuona ukiahangaika.

Hii inakuwa ni mara ya pili kwa msanii wa bongo movies kufanya kitendo kama hiki baada ya mwanadada Sintah naye kuamua kumficha mpenzi wake.

TOA MAONI YAKO HAPA

0 comments:

Fezza Kessy Awa Mtanzania wa Pili Kuingia Nyumba ya Big Brother Africa

Baada ya Kuwa na Tetesi kuwa Fezza Kessy Atakuwa ni mmoja wa wakilishi wa Tanzania Big Brother Africa ...leo hii Amekuwa ni Mmoja kati ya Watanzania Wawili Wanao Iwakilisha Tanzania katika Jengo Hilo....So Tuna Wawakilishi Wawili Nando na Fezza Kessy...

0 comments:

Waliofeli kidato cha nne waula, ufaulu sasa waongezeka

Idadi ya watahiniwa waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka jana imeongezeka kwa kati ya asilimia 20 na 23 baada ya Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), kufanya marekebisho alama za viwango vya ufaulu, Mwananchi limebaini.
Habari ambazo gazeti hili imezipata zinasema matokeo hayo ambayo yamewezesha kiwango cha ufaulu kupanda na kufikia asilimia kati ya 54 na 57, huenda yakatangazwa wiki hii pamoja na yale ya kidato cha sita ambayo pia yamechelewa kutangazwa.
Chanzo cha habari kutoka Necta kimesema matokeo hayo mapya yanaonyesha kuwa, ufaulu wa kuanzia daraja la kwanza hadi la nne umeongezeka kutoka asilimia 34.5 kwa matokeo yaliyotangazwa awali na huenda yakafikia asilimia 57. Hii inamaanisha kwamba watahiniwa wapatao 82,000 ambao awali walikuwa wamepata sifuri katika matokeo ya awali sasa wamepanda na kupata madaraja ya ufaulu katika matokeo mapya.
Kwa matokeo hayo, watahiniwa wa mwaka 2012 watakuwa wamefanya vizuri kuliko wa mwaka 2011, ambao watahiniwa 225,126 sawa na asilimia 53.37 ya 349,390 waliofanya mtihani huo walifaulu.
Msemaji wa Necta, John Nchimbi alisema upangaji wa matokeo hayo ulikuwa bado unaendelea. “Ninachojua kwa sasa ni kuwa mchakato unaendelea na matokeo yatatangazwa mapema tu ili watoto waweze kujiunga na shule mapema,” alisema Nchimbi.
Pia alisema usahihishaji wa mitihani ya kidato cha sita umekamilika.
Matokeo ya awali
Matokeo ya awali yaliyotangazwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa yalionyesha kuwa kati ya watahiniwa 367,756 waliofanya mtihani wa kidato cha nne mwaka jana, waliokuwa wamefaulu kwa daraja la kwanza mpaka la tatu walikuwa 126,847 sawa na asilimia 6.4. Waliopata daraja la nne walikuwa ni 103,327 sawa na asilimia 28.1.
Katika matokeo hayo, watahiniwa 240,909 sawa na asilimia 65.5 walipata sifuri, hesabu ambayo imebadilika katika matokeo mapya ambayo yanaonyesha kuwa sasa waliopata daraja hilo ni 158,100 ambayo ni asilimia 43.
Hata hivyo, habari kutoka Necta zinasema kuwa licha ya kuwezesha kuongezeka kwa waliofaulu, matumizi ya kanuni mpya ya kukokotoa matokeo hayo yalisababisha zaidi ya wanafunzi 2,500 kushuka ufaulu ikilinganishwa na awali.
Maofisa mbalimbali wa Necta pamoja na wale wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na taasisi zake, walikutana mwishoni mwa wiki iliyopita kukubaliana masuala mbalimbali juu ya matokeo hayo pamoja na suala la matokeo ya wanafunzi hao 2,500 kabla ya kutangazwa wiki hii.
“Baada ya wajumbe kujadili suala lile, busara ilibidi itumike kwa hiyo hakuna mwanafunzi ambaye alama yake itashuka, kwa kawaida isingewezekana mtoto ambaye matokeo yalitoka akiwa amefaulu leo umwambie ameshuka,” kilieleza chanzo chetu.
TOA MAONI YAKO HAPA

0 comments:

Matapeli wa kwenye mtandao wamuandama Wolper! Soma hapa kilichomtokea leo na alichosema kuhusu Facebook.

Matapeli wa kwenye mtandao wamuandama Wolper! Soma hapa kilichomtokea leo na alichosema kuhusu Facebook.

Katika kile kinachoonekana ni mwendelezo wa matapeli wa mjini kutumia majina ya waigizaji maarufu nchini kutapeli watu kwa njia ya mtandao, dhahama hii sasa imemkuta mwanadada Jacqueline wolper baada ya watu wanaoaminika kuwa ni matapeli kutumia jina lake kujipatia fedha na vitu vingine kiudanganyifu.

Akizungumza kwa simu na tovuti ya bongomovies.com mwanadada Jacqueline wolper  alisema matapeli hawa sasa wameamua kutumia mtandao wa instagram na mtandao mwingine wa kijamii uitwao badoo kwa jina la “wolper gambe25” katika kutapeli watu kwa kuwaomba hela au michango mbalimbali kupitia account hizo feki

“Leo nilikuwa naenda saluni, baada ya kufika tuu, yule dada wa saluni akaanza kunilalamikia kuwa mbona sijaenda kuchukua viatu nilivyomuagiza pamoja na hela? Nikawa sijui cha kumwambia maana sikumuagiza viatu na wala sijampigia simu kumwambia anitumie hela, ndipo aliponionesha huo ujumbe kwenye simu yake na ndio nikagundua hizo account feki za hao watu wanaoutumia jina langu kutapeli watu” Alisema Jack.

“Mimi sipo facebook na wala sitarajii kujiunga, nawaomba sana mashabiki wangu wajue hilo. Natumia mtandao wa instagram kwa jina la wolpergambe au jacklinewolperjacklinewolper.” Alisisitza Wolper

Pia alisema kuwa amendundua leo kuna mtu mwingine anayetumia jina lake kuomba watu wamchangie kuhusu kampeni inayoitwa “Zinduka” na amewataka sana mashabiki wake wasije wakafanya hivyo kwani mtu huyo ni mwizi na analengo la kumchafulia jina lake.
TOA MAONI YAKO HAPA

0 comments:

HE SLAPPED MY VAGINA – Amanda Bynes claims she was sexually harassed by Police


Amanda Bynes claims she was sexually harassed in court, all these reports on her arrest are just lies, lies lies!
She tweeted minutes ago:
Don’t believe the reports about me being arrested. It’s all lies. I was sexually harassed by one of the cops the night before last which is who then arrested me. He lied and said I threw a bong out the window when I opened the window for fresh air. Hilarious. He slapped my vagina. Sexual harassment. Big deal. I then called the cops on him. He handcuffed me, which I resisted, quite unlike any of the reports stated. Then I was sent to a mental hospital. Offensive. I kept asking for my lawyer but they wouldn’t let me. The cops were creepy. The cop sexually harassed me, they found no pot on me or bong outside my window. That’s why the judge let me go. Don’t believe any reports.
It seems like according to this gal, everyone is just out to get her.
Amanda Bynes has finally spoken via what else?… Twitter duh!
Yesterday we all were left confused and baffled after the 27 year old was arrested for her reported bong throwing.
We’ve been hoping the former Nickelodeon star would turn her whacky behaviour around soon and get back to being the chipper, sitcom and movie star we grew to love but things got really cray! And what had everyone talking the most was Amanda’s court appearance.
Sporting the most disheveled wig we’ve ever seen and chopped and screwed nails, the actress appeared in court looking a HOT mess and now she’s reacting to the whole ordeal and even cracking jokes
Using her favorite social media tool, Bynes denied ever touching any drug ever in life:
Screenshot at May 26 00-06-19
Amanda-Bynes-court-hearing4
Source: Globalgrind.com

0 comments:

World Gossip:What is she wearing? Amber Rose shows off her post-baby boobies

Amber Rose held onto her Wiz Khalifa as they posed it up for the red carpet, where she showed off her gorgeous curvy post-baby body.
What is she wearing? lol

0 comments:

BREAKING NEWS: MARTIN FUNDI KUTOKA KIMARA NDIYE THE VODACOM MIC KING 2013


TUZO ya The Vodacom Mic King 2013 imekwenda kwa Martin Fundi kutoka Kimara. Mkali huyo kutoka Kimara jijini Dar es Salaam ndiye aliyejishindia gari mpya aina ya Funcargo (New Model) na kuwabwaga washiriki wenzake watatu waliokuwa wanawania tuzo hiyo. Fundi na wenzake watatu watapata fursa ya kurekodi nyimbo moja moja kila mmoja kutoka kwa Prodyuza matawi ya Juu, Tudd Thomas, ambaye ametengeneza ngoma kali kama Uswazi Take Away ya Chegge, Leka Dutigite ya Kigoma All Stars, Pii Pii ya Marlaw na nyinginezo nyingi. All The Best Martin Fundi.

0 comments:

Will Smith delights fans with 'Fresh Prince' rap on Graham Norton's chat show

Will Smith and his son Jaden Smith delighted fans on Friday night by performing Will's famous rap from The Fresh Prince of Bel Air together. During an appearance on Graham Norton's chat show, father and son, Will and Jaden, grabbed a pair of microphones and sung the well-loved rap with a couple of special guests.

After taking to the floor Will introduced DJ Jazzy Jeff,  who starred in The Fresh Prince of Bel Air, before they were joined by their fellow former co-star, Alfonso Ribiero. Alfonso, who played Will's cousin Carlton Banks in the show, then performed his famous 'Carlton dance' for the enthusiastic crowd who sang along to the Tom Jones track, It's Not Unusual.

Men in Black actor Will, who first starred as "The Fresh Prince" back in 1990, began the performance by beatboxing as his son rapped before the duo introduced their surprise guests.

Will, 44, and Jaden, 14, who is dating Kim Kardashian's half-sister Kylie Jenner, were on the show to promote Will's latest film, After Earth. Before breaking into song, Will and Jaden chatted with Graham Norton along with fellow guests Bradley Cooper and Heather Graham.

Audience members, as well as Graham, Bradley and Heather, were all on their feet and dancing along by the time the impressive routine ended.

Jaden has not been far from his dad's side during Will's promotion of sci-fi thriller After Earth. The pair attended a launch party for the film in Cancun last month, where Will decided to give his son a peck on the cheek.

Jaden was mildly embarrassed by the fatherly affection and was more comfortable showing off his skills as a performer on Graham Norton's chat show.

0 comments:

Diamond Platnumz 'Hizi ndio Sababu Kwanini Nafanya Vizuri kwenye Muziki"

Mengi yamekuwa yakisemwa juu ya msanii ambae inaaminika ndiye mfalme wa muziki wa bongo fleva Wapo wanaosema anatumia nguvu za giza ikiwemo ushirikina na wapo wanaosema yuko powered na Imani ya Free mason ingawa TEENTZ tunaamini juhudi na kujituma ndiyo njia pekee ya mafanikio kwa chochote TEENTZ ilipiga story na Diamond na kueleza moja ya sababu kubwa why yuko juu na  na kila siku ananendelea kuwa juu tofauti na baadhi ya wanamzki wengine

1-"Mungu ndio kila kitu kwa maisha ya binadamu,so napenda kumtanguliza Mungu kwa kila nikifanyacho"

2-"Sipendi starehe,kutumia pesa vibaya,naiheshimu sana pesa yangu,matumizi yake makubwa ni chakula,pengine mafuta kwa ajili ya gari matumizi mengine ya mhimu kwa binadamu na zaidi naitumia pesa yangu kufanya kitu kitakachoendelea kumantain muziki wangu"

3"-Sibani pesa kwenye swala la kujijenga kimziki,niko tayali nitumie milioni kadhaa kufanya kitu kitakachojenga status yangu vizuri,mfano kugharamikia mavazi ya shows n.k"

4-"Nampenda sana mama angu na pengine kuna thawabu ninazozipata kwa kitendo hicho"

Hizo ndizo reason chache alizotoa Diamond kuhusu yeye kuendelea kuwa on the pick na ni wazi kabisa ndani ya reason kama hizo ni binadamu wachache sana watakaoshindwa kufanay vizuri ama kupata maendeleo.
TOA MAONI YAKO HAPA

0 comments:

Baada ya Mahakama Kumruhusu Dr Slaa Kuoa, Ridhiwani Kikwete Amponda Facebook







What is your Take ? Je ni kweli ni discussion ya Kidini ama ?

0 comments:

Mkenya Amuandikia Barua ya Utani Barack Obama kwa kuto itembelea Kenya

Obama kuzitembelea nchi za Senegal,South Afrika na Jakaya land ni swala ambalo itawachukua mda mlefu sana kulichukulia poa,toka itoke habari ya Obama kutoenda kenya kwwa stayle tofauti wakenya wamekuwa wakionyesha hisia zao za kutopendezwa na kitendo hicho
Funga kazi ni Mkenya kutoka Kisumu Kumwandikia Obama ujumbe wa Utani akiblame Kitendo hicho kilichochukiza wakenya wengi
Usome hapo chini ujumbe huo ulisambaa sana kwenye mitandao ya kijamii duniani

Dear long distance kasin,

You refused to reply the letter that i sent through yahoo, i donno why, but sokey sorait. am assuming osama bin laden resurrected, hacked the network, intersected the letter, edited it and included an attachment of a bomb, thereby prompting interpol and FBI to take the letter and diffuse the bomb. that has entered my heart malit but onge wach anything is possible, even beyonce teeee goes to the toilet whether se likes it or not.

koro this letter am sending through gmail, I hope it will reach. kasin, buana i heard you are coming these sides? that specifically, you are coming to senegal, south africa and here in tansania, is it true? How can you come to south africa and fail to come to kogelo, siaya??

kasin you need to come and witness for yourself-your lion is falling down, the cowdung of the chest of your lion is peeling, grass is growing in the centre of your lion, the roof of
your lion is letting the sun into the lion, dogs are chasing sleep in your lion with their women, cats are using your lion as a jerrican, your grandmother is being insulted by adan duale that se is a thief and is greedy, the dipiuty is hiring a cheap jet at sh100 million, cows producing KCC are talking, pigs are in parliament, GOR beat AFC leopards and put it in the mbugru and finally linda ogutu will read the KTN news at 9!

kasin, i hope misel, sasa and malia are okay? espesially malia…. please reply, even with ‘k’

yours tribemate, fellow english speaking nilote,

TOA MAONI YAKO HAPA

0 comments:

Wema Sepetu "Mimi na Wanaume tu, Siwezi Badilisha Hii Style"


Wema ambaye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Endless Fame, anadaiwa kuwa beneti na kijana aitwaye Robby lakini mwenyewe amesema kwamba hakuna anayeweza kumtenganisha na wanaume.
Habari zinasema kuwa, Wema na Robby wamekuwa wakipiga picha za kimahaba na mnyange huyo kuziingiza kwenye mtandoa wake na kumtambulisha kijana huyo kwa jina la ‘Honey’

Risasi Jumamosi lilifanya juu chini na kumsaka Wema ili kumtaka ajibu tuhuma za kuwa katika mahaba na kijana huyo.
Mei 22 mwaka huu, mwandishi wa gazeti hili alifika ofisini kwa mrembo huyo, Mwananyamala Komakoma jijini Dar es salaam na kumbana kwa maswali juu ya kuvuja kwa picha zake hizo akiwa na Robby na nyingine akiwa na wanaume wengine tofauti.
“Watu wamekuwa wakinizungumzia kila kukicha, tena maongezi yao yamekuwa yakianzia kwenye baadhi ya picha zangu, kila mtu ana namna ya kutengeneza ‘laifu’ yake na miye huwa sioni shida mwanaume asiye hawara yangu kunikisi au miye kumkisi,” alianza kujitetea.

“Ukifuatilia historia yangu mara nyingi utagundua marafiki zangu wengi ni wanaume kuliko wanawake na wengi wao wanakuja kwangu, tunakunywa na wanaondoka mida mibovu, kwa asiyenijua anaweza kuhisi ni mabwana zangu kumbe siyo, hata kwenye mitandao huwa sioni tabu kuweka picha za mtu akinikisi au nikimkisi,” aliendelea kusema.

“Siwezi kubadilika hii ni life style yangu. Siwezi kuacha kuwa karibu na marafiki wa kiume, hivyo ndivyo nilivyoumbwa watu wasinishangae, suala la kukutana na mtu na kupiga naye picha siyo ishu kwangu, ningekuwa mtu wa ajabu sana kama ningekuwa nawakisi midomoni au wao kunikisi mdomoni,” aliongeza.
Wema amesema kuwa watu wana hisia mbaya juu yake na Robby jambo ambalo siyo sahihi kwa kuwa, katika maisha yake anawapenda marafiki wa kiume zaidi ya wanawake.
TOA MAONI YAKO HAPA

0 comments: