Aunt Lulu huku akivunja amri ya sita (6) atoa onyo kali...

Mwanadada Mwenye Skendo Nyingi Magazetini Aunty Lulu Ameweka Picha Akiwa na Mvulana anae dai ni Mpenzi wake na Kuandika Status ya Kupiga Mkwara inayosema "USIRUDIE TENA KUNIBEBEA MUME WANGU"

Limekuwa ni jambo la kawaida kwa aunt lulu kubadilisha wanaume kama nguo........

Hivi karibuni alikumbwa na kashfa ya mwaka baada ya kutimuliwa alikokuwa amepanga kisa kikiwa ni kufanya mapenzi chooni hali iliyomfanya akajihifadhi GEST HOUSE kwa muda