Showing posts with label Mitaani. Show all posts

HAWA NDIO WAVULANA WA FAMILIA MOJA WALIOTOKWA NA MATITI UKUBWANI

VIJANA watatu wa familia moja ya  Felipe Ramirez, wamepata balaa kubwa baada ya kuota matiti yaliyosababisha kuchekwa na vijana wenzao waliokuwa wakiwaona kuwa ni mashoga.
Vijana hao kutoka katika Jamhuri ya Dominica ni  Yeuri (17 ), Gabriel (11) na  Daniu Ramírez  (12),  hata hivyo, kwa sasa wanaishi kwa amani baada ya kufanyiwa upasuaji na kuondolewa matiti hayo. 


Baba yao mzazi, Felipe Ramirez alifanya jitihada ya kuomba msaada kupitia televisheni na magazeti ili wanawe wafanyiwe upasuaji kwani walikuwa wakiishi katika mateso kwenye jamii yao.
Baada ya kuomba msaada, Mkurugenzi wa Hospitali ya  Marcelino Velez Santana nchini humo, Dokta  Pedro Antonio Delgado


aliamua kuwalipia gharama za upasuaji ambao ulichukua saa mbili.
 Ramirez, alisema: “Wakati wanaingizwa katika chumba cha upasuaji nilikosa raha kwa kuhofia kama watatoka salama nao waliogopa lakini baada ya kutoka, wote tumefurahi sana.”

VIJANA watatu wa familia moja ya  Felipe Ramirez, wamepata balaa kubwa baada ya kuota matiti yaliyosababisha kuchekwa na vijana wenzao waliokuwa wakiwaona kuwa ni mashoga.
Vijana hao kutoka katika Jamhuri ya Dominica ni  Yeuri (17 ), Gabriel (11) na  Daniu Ramírez  (12),  hata hivyo, kwa sasa wanaishi kwa amani baada ya kufanyiwa upasuaji na kuondolewa matiti hayo. 


Baba yao mzazi, Felipe Ramirez alifanya jitihada ya kuomba msaada kupitia televisheni na magazeti ili wanawe wafanyiwe upasuaji kwani walikuwa wakiishi katika mateso kwenye jamii yao.
Baada ya kuomba msaada, Mkurugenzi wa Hospitali ya  Marcelino Velez Santana nchini humo, Dokta  Pedro Antonio Delgado


aliamua kuwalipia gharama za upasuaji ambao ulichukua saa mbili.
 Ramirez, alisema: “Wakati wanaingizwa katika chumba cha upasuaji nilikosa raha kwa kuhofia kama watatoka salama nao waliogopa lakini baada ya kutoka, wote tumefurahi sana.”

REGINALD MENGI; UMEWAGAWIA CCM WAITAWALE ITV WATAKAVYO?

Kwako mzee Mengi, zamani miaka miwili iliyopita kituo unachokimiliki cha ITV ndicho kilikuwa namba moja kwa habari za kweli na zisizoegemea upande wowote. Weng waliipenda ITV na kuipotezea kabisa TBCCM ambayo hatakuisikia HATUITAKI tena kwa habari za kichama zinazoendelea kule. Sasa mzee Mengi sikufich kituo chako sasa hivi si kituo cha watu wote tena. Taarifa ya habari ni hovyo hovyo na unaweza kuvunja TV kwa upendeleo wa wazi tena watangazaji wanawapa muda mrefu ccm katka hoja zao na habari zao. Wanapokuja CHADEMA basi ni habari inayoiponda na kuisaga CHADEMA. Yani ni upendeleo hata kwenye mada za vipimajoto vyenu yani iwe makala hata tangazo ni upendeleo kwa CCM. Naomba uweke wazi Mengi kama umewauzia ccm au wamekodi kwa ubiya au wana hisa au ikoje? Wanaitumia na kutoa maelekezo ya nini kifuatwe au kitangazwe. Tayari kila mtu anawalalamikia na mmejijengea chuki tayari kwa wapenda haki. ACHENI UPENDELEO NA KUIOGOPA CCM...
Kwako mzee Mengi, zamani miaka miwili iliyopita kituo unachokimiliki cha ITV ndicho kilikuwa namba moja kwa habari za kweli na zisizoegemea upande wowote. Weng waliipenda ITV na kuipotezea kabisa TBCCM ambayo hatakuisikia HATUITAKI tena kwa habari za kichama zinazoendelea kule. Sasa mzee Mengi sikufich kituo chako sasa hivi si kituo cha watu wote tena. Taarifa ya habari ni hovyo hovyo na unaweza kuvunja TV kwa upendeleo wa wazi tena watangazaji wanawapa muda mrefu ccm katka hoja zao na habari zao. Wanapokuja CHADEMA basi ni habari inayoiponda na kuisaga CHADEMA. Yani ni upendeleo hata kwenye mada za vipimajoto vyenu yani iwe makala hata tangazo ni upendeleo kwa CCM. Naomba uweke wazi Mengi kama umewauzia ccm au wamekodi kwa ubiya au wana hisa au ikoje? Wanaitumia na kutoa maelekezo ya nini kifuatwe au kitangazwe. Tayari kila mtu anawalalamikia na mmejijengea chuki tayari kwa wapenda haki. ACHENI UPENDELEO NA KUIOGOPA CCM...

Maisha Feki ya Mastaa wengi wa Bongo

TASNIA ya muziki wa kizazi kipya Bongo kwa sasa imeshika kasi, wasanii kwa kiasi kikubwa wameweza kuwekeza na hata majina yao yamekuwa juu kiasi cha kujijengea imani kubwa mbele ya jamii.
Imani hii kubwa na ushabiki uliokithiri, imezua jambo jingine kubwa ambalo limekuwa tatizo la kimaendeleo. Tatizo hilo ni wasanii kujikuta wakiendeshwa na umaarufu wa majina yao katika namna ya wanavyoishi.
Imebainika kwa kuwa majina yao ni makubwa kuliko uwezo wao wa kuishi. Jambo hili limewafanya wasanii hao waishi maisha feki mbele ya jamii yao.
Kwa kuishi maisha hayo, wamejikuta wakitumia gharama kubwa katika kuishi maisha ambayo si ya daraja lao.
Mavazi
Ukianzia na mavazi, kwa kuwa tu anajulikana yeye ni yule msanii aliyeimba wimbo fulani maarufu, basi hata kama hana mavazi ya gharama atajitahidi hata kwenda kuazima, ili mradi mashabiki wake wakimwona wamkute nadhifu.
Awali tabia hiyo ilidhaniwa ni ya wasanii wa dansi pekee hasa Wakongomani, lakini sasa ni fasheni kwenye Bongofleva.
Inakubalika na ni dhahiri unadhifu kwa watu wenye mvuto kwa jamii ni jambo lililo wazi, lakini unadhifu unahusiana vipi na gharama?
Wengi wanapotelea hapa, wanafikiri unadhifu ni kuvaa vitu vyenye gharama kumbe uchaguzi wa vitu vya kawaida na mpangilio vinaweza kukufanya kuwa nadhifu kuliko vitu ghali.
Angalia mavazi ya Michael Jackson, yalikuwa ya gharama sana lakini si kweli kwamba mavazi yale ndiyo yalikuwa yakisababisha aonekane nadhifu kuliko wasanii wote duniani, alikuwa tu ni Mfalme wa Pop.
Lakini Bongo ukiachilia mbali kuazimana, kuvaliana na kuambukizana magonjwa, kuna kundi kubwa la wasanii ambao hupenda kujihusisha na maduka ya nguo ili mradi tu wapate kupendeza.
Usafiri
Ukishakuwa staa, tayari kuitwaitwa barabarani, kufuatwa na watoto ukiwa katika matembezi yako, ama kuombwa kupiga picha na mashabiki wako na mambo mengineyo kama hayo ni jambo la kawaida.
Wasanii wetu wanahisi hii ni ghasia na kuwakimbia mashabiki wao. Huukimbia kabisa usafiri wa umma, yaani daladala au wakati wanaenda mikoani huona bora hata wakodi magari badala ya kupanda basi.
Kuna asilimia kubwa ya wasanii tunaowaona wanaendesha magari kana kwamba wanayamiliki, kumbe si yao. Wengi huyakodi ili wakionana na mashabiki wao angalau waonekane wao ni wa matawi ya juu.
Jina linaendelea kuwa kubwa huku mhusika akiteseka kwa kuingia madeni makubwa.
Amini usiamini humu ndimo asilimia kubwa ya kipato cha msanii wa kizazi kipya kinapopotea. Magari hukodishwa kuanzia Dola 25 mpaka Dola 40 kwa siku kulingana na aina ya gari.
Makazi
Hapa ndipo ambapo hawajali kabisa, wengi wao huishi kwa kutegemea wazazi na wengine huishi kwenye nyumba za kupanga kwa kuchangia au kukaa tu kwa mtu huku wakiamini ipo siku mambo yatakuwa sawa wajenge.
Nyumba wanazoishi wengi wao ukiangalia na mavazi wanayovaa na magari wanayoendesha ni vitu tofauti. Wengi huweka kipaumbele mwonekano wa nje kuliko hata wanapoweka ubavu.
Ni wasanii wachache wanaomudu maisha yao kutokana na kipato kilivyo.
Ukiangalia mavazi, usafiri na huku anataka kuonekana kila sehemu ya starehe, sehemu ya pato hupotea huko na mwisho wa siku hubakia kuwa na umaarufu wa maneno na sifa za mdomoni .
Biashara?
Wengi zimewashinda kutokana na ukweli kwamba hawana uzoefu na tija katika biashara. Huanzisha miradi kwa kasi kwa kushirikiana na watu, lakini huwa hawachukui muda kwani hujikuta wakitolewa nje kutokana na matumizi yao makubwa kuliko kipato.
Sifa kubwa ya mfanyabiashara ambaye anasimama kama mchumi ni kuzijua hesabu zake kwa umakini jambo ambalo wasanii wetu wa kizazi kipya hawana.
Ukiachana na hilo, wengi wamekuwa wakitumiwa tu majina yao katika maduka lakini ukija kwenye ukweli, maduka huwa si yao, majina hayo hutumika kunufaisha biashara za watu na mwisho wa siku ukweli huja kubainika.
Upo mfano wa msanii mmoja aliyewahi kuwa na Baa maeneo ya Sinza, lakini ukweli ukaja kugundulika kwamba baa ilikuwa ni ya mwanamke aliyekuwa na uhusiano naye, pale walipoachana ndiyo siri ikavuja.
TOA MAONI YAKO HAPA
TASNIA ya muziki wa kizazi kipya Bongo kwa sasa imeshika kasi, wasanii kwa kiasi kikubwa wameweza kuwekeza na hata majina yao yamekuwa juu kiasi cha kujijengea imani kubwa mbele ya jamii.
Imani hii kubwa na ushabiki uliokithiri, imezua jambo jingine kubwa ambalo limekuwa tatizo la kimaendeleo. Tatizo hilo ni wasanii kujikuta wakiendeshwa na umaarufu wa majina yao katika namna ya wanavyoishi.
Imebainika kwa kuwa majina yao ni makubwa kuliko uwezo wao wa kuishi. Jambo hili limewafanya wasanii hao waishi maisha feki mbele ya jamii yao.
Kwa kuishi maisha hayo, wamejikuta wakitumia gharama kubwa katika kuishi maisha ambayo si ya daraja lao.
Mavazi
Ukianzia na mavazi, kwa kuwa tu anajulikana yeye ni yule msanii aliyeimba wimbo fulani maarufu, basi hata kama hana mavazi ya gharama atajitahidi hata kwenda kuazima, ili mradi mashabiki wake wakimwona wamkute nadhifu.
Awali tabia hiyo ilidhaniwa ni ya wasanii wa dansi pekee hasa Wakongomani, lakini sasa ni fasheni kwenye Bongofleva.
Inakubalika na ni dhahiri unadhifu kwa watu wenye mvuto kwa jamii ni jambo lililo wazi, lakini unadhifu unahusiana vipi na gharama?
Wengi wanapotelea hapa, wanafikiri unadhifu ni kuvaa vitu vyenye gharama kumbe uchaguzi wa vitu vya kawaida na mpangilio vinaweza kukufanya kuwa nadhifu kuliko vitu ghali.
Angalia mavazi ya Michael Jackson, yalikuwa ya gharama sana lakini si kweli kwamba mavazi yale ndiyo yalikuwa yakisababisha aonekane nadhifu kuliko wasanii wote duniani, alikuwa tu ni Mfalme wa Pop.
Lakini Bongo ukiachilia mbali kuazimana, kuvaliana na kuambukizana magonjwa, kuna kundi kubwa la wasanii ambao hupenda kujihusisha na maduka ya nguo ili mradi tu wapate kupendeza.
Usafiri
Ukishakuwa staa, tayari kuitwaitwa barabarani, kufuatwa na watoto ukiwa katika matembezi yako, ama kuombwa kupiga picha na mashabiki wako na mambo mengineyo kama hayo ni jambo la kawaida.
Wasanii wetu wanahisi hii ni ghasia na kuwakimbia mashabiki wao. Huukimbia kabisa usafiri wa umma, yaani daladala au wakati wanaenda mikoani huona bora hata wakodi magari badala ya kupanda basi.
Kuna asilimia kubwa ya wasanii tunaowaona wanaendesha magari kana kwamba wanayamiliki, kumbe si yao. Wengi huyakodi ili wakionana na mashabiki wao angalau waonekane wao ni wa matawi ya juu.
Jina linaendelea kuwa kubwa huku mhusika akiteseka kwa kuingia madeni makubwa.
Amini usiamini humu ndimo asilimia kubwa ya kipato cha msanii wa kizazi kipya kinapopotea. Magari hukodishwa kuanzia Dola 25 mpaka Dola 40 kwa siku kulingana na aina ya gari.
Makazi
Hapa ndipo ambapo hawajali kabisa, wengi wao huishi kwa kutegemea wazazi na wengine huishi kwenye nyumba za kupanga kwa kuchangia au kukaa tu kwa mtu huku wakiamini ipo siku mambo yatakuwa sawa wajenge.
Nyumba wanazoishi wengi wao ukiangalia na mavazi wanayovaa na magari wanayoendesha ni vitu tofauti. Wengi huweka kipaumbele mwonekano wa nje kuliko hata wanapoweka ubavu.
Ni wasanii wachache wanaomudu maisha yao kutokana na kipato kilivyo.
Ukiangalia mavazi, usafiri na huku anataka kuonekana kila sehemu ya starehe, sehemu ya pato hupotea huko na mwisho wa siku hubakia kuwa na umaarufu wa maneno na sifa za mdomoni .
Biashara?
Wengi zimewashinda kutokana na ukweli kwamba hawana uzoefu na tija katika biashara. Huanzisha miradi kwa kasi kwa kushirikiana na watu, lakini huwa hawachukui muda kwani hujikuta wakitolewa nje kutokana na matumizi yao makubwa kuliko kipato.
Sifa kubwa ya mfanyabiashara ambaye anasimama kama mchumi ni kuzijua hesabu zake kwa umakini jambo ambalo wasanii wetu wa kizazi kipya hawana.
Ukiachana na hilo, wengi wamekuwa wakitumiwa tu majina yao katika maduka lakini ukija kwenye ukweli, maduka huwa si yao, majina hayo hutumika kunufaisha biashara za watu na mwisho wa siku ukweli huja kubainika.
Upo mfano wa msanii mmoja aliyewahi kuwa na Baa maeneo ya Sinza, lakini ukweli ukaja kugundulika kwamba baa ilikuwa ni ya mwanamke aliyekuwa na uhusiano naye, pale walipoachana ndiyo siri ikavuja.
TOA MAONI YAKO HAPA

MFUNGWA NAPOCHAGUA JELA..NI MTANZANIA ALIYEKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA HUKO ANGOLA

Baadhi ya ndugu na marafiki wa Mtanzania aliehukumiwa kifungo cha miaka nane nchini Angola baada ya kupatikana na dawa za kulevya alizokua akizisafirisha kwenda Afrika Kusini, wamepaza sauti kuomba msaada wa Serikali ili ndugu yao aje kufungiwa gerezani Tanzania.

Khaleed Bin Abad amesema huyu Mtanzania aliondoka South Afrika na kwenda kufata dawa za kulevya Brazil na akafanikiwa kuchukua ila wakati anarudi Afrika Kusini kwenye kubadilisha ndege Angola alikamatwa na kukutwa na dawa za kulevya miaka mitatu iliyopita.

Kwa kipindi chote hicho huyu jamaa amekua akishikiliwa Angola bila kujua hatma yake na hata kushindwa kukutana na balozi wa Tanzania Angola lakini wiki mbili zilizopita ndio amehukumiwa kifungo cha miaka 8.

Ombi lililoambatana na ndugu hawa kupaza sauti, ni kuiomba serikali kusaidia mtu huyu kukutana na balozi wa huko ili utaratibu wa kuja kufungwa Tanzania ujulikane.

Mara nyingi Mtanzania huyu amekua akituma msg kwa kutumia simu za watu wengine aliokutana nao gerezani.

Baadhi ya ndugu na marafiki wa Mtanzania aliehukumiwa kifungo cha miaka nane nchini Angola baada ya kupatikana na dawa za kulevya alizokua akizisafirisha kwenda Afrika Kusini, wamepaza sauti kuomba msaada wa Serikali ili ndugu yao aje kufungiwa gerezani Tanzania.

Khaleed Bin Abad amesema huyu Mtanzania aliondoka South Afrika na kwenda kufata dawa za kulevya Brazil na akafanikiwa kuchukua ila wakati anarudi Afrika Kusini kwenye kubadilisha ndege Angola alikamatwa na kukutwa na dawa za kulevya miaka mitatu iliyopita.

Kwa kipindi chote hicho huyu jamaa amekua akishikiliwa Angola bila kujua hatma yake na hata kushindwa kukutana na balozi wa Tanzania Angola lakini wiki mbili zilizopita ndio amehukumiwa kifungo cha miaka 8.

Ombi lililoambatana na ndugu hawa kupaza sauti, ni kuiomba serikali kusaidia mtu huyu kukutana na balozi wa huko ili utaratibu wa kuja kufungwa Tanzania ujulikane.

Mara nyingi Mtanzania huyu amekua akituma msg kwa kutumia simu za watu wengine aliokutana nao gerezani.

Hii imetokea Mbezi Tangi bovu

 
 
 
 
 
 
 
Tanzania social media trending image: Mwanamke aliyekaa juu ya nyumba yake kwa siku tano kuzuia isipigwe mnada na madalali wa Tanzania Investment Bank eneo la Mbezi Tangi Bovu. Updates: Mahakama imetoa amri nyumba hiyo isipigwe mnada.
 
 
 
 
 
 
 
Tanzania social media trending image: Mwanamke aliyekaa juu ya nyumba yake kwa siku tano kuzuia isipigwe mnada na madalali wa Tanzania Investment Bank eneo la Mbezi Tangi Bovu. Updates: Mahakama imetoa amri nyumba hiyo isipigwe mnada.

Hot Picture of The Day-Nini Kilikuwa Kinaendelea Hapa?

nini kilichokuwa kikijiri eneo hili lenye jakuzi?

nini kilichokuwa kikijiri eneo hili lenye jakuzi?

Uproar in Parliament over Ruto massage cartoon

NAIROBI, Kenya May 22 – Women MPs are demanding an apology from a Kenyan newspaper because of a cartoon it published on Wednesday, which they claim lowers their dignity.
Led by Kenya Women Parliamentarian Association Chairman Cecily Mbarire, they say the Daily Nation cartoon by Gado which shows Deputy President William Ruto getting a massage was in bad taste for women MPs who accompanied him on a now controversial four-nation African tour.
“I want to demand an apology to all the lady Members of Parliament because we are here in our own right. We did not come here to massage anybody… we are here as Members of Parliament; and we want gender sensitive media, not people who look at us from the waist down and not the waist up.”
Suna East MP Junet Mohammed was reprimanded by Speaker Justin Muturi after he said that only the women MPs who accompanied Ruto on the trip could clarify the matter.
“I really condemn what this cartoon is trying to portray, but the members who travelled can tell us better,” he said.
Majority Leader of Coalition Aden Duale sought to have Mohammed disciplined for imputing improper motive on the character of fellow legislators.
“Is it in order for a Member of Parliament to stand up in this House and put very bad motive on his own colleagues, Mr Speaker? It is very, very shameful,” he said.
Mbita MP Millie Odhiambo urged the Speaker to ensure the media gives Members of Parliament equal coverage.
“I am not too sure that there is anything there that seems to suggest that those are female MPs who are massaging. My concern is if they put a cartoon of women massaging William Ruto, then I want to demand that they put a cartoon of me being massaged by male MPs.”
Speaker Muturi refused to be drawn into the making a ruling and asked MPs who felt aggrieved to petition the House Committee on Parliamentary Broadcasting to look into the matter and file its recommendations after 14 days.
NAIROBI, Kenya May 22 – Women MPs are demanding an apology from a Kenyan newspaper because of a cartoon it published on Wednesday, which they claim lowers their dignity.
Led by Kenya Women Parliamentarian Association Chairman Cecily Mbarire, they say the Daily Nation cartoon by Gado which shows Deputy President William Ruto getting a massage was in bad taste for women MPs who accompanied him on a now controversial four-nation African tour.
“I want to demand an apology to all the lady Members of Parliament because we are here in our own right. We did not come here to massage anybody… we are here as Members of Parliament; and we want gender sensitive media, not people who look at us from the waist down and not the waist up.”
Suna East MP Junet Mohammed was reprimanded by Speaker Justin Muturi after he said that only the women MPs who accompanied Ruto on the trip could clarify the matter.
“I really condemn what this cartoon is trying to portray, but the members who travelled can tell us better,” he said.
Majority Leader of Coalition Aden Duale sought to have Mohammed disciplined for imputing improper motive on the character of fellow legislators.
“Is it in order for a Member of Parliament to stand up in this House and put very bad motive on his own colleagues, Mr Speaker? It is very, very shameful,” he said.
Mbita MP Millie Odhiambo urged the Speaker to ensure the media gives Members of Parliament equal coverage.
“I am not too sure that there is anything there that seems to suggest that those are female MPs who are massaging. My concern is if they put a cartoon of women massaging William Ruto, then I want to demand that they put a cartoon of me being massaged by male MPs.”
Speaker Muturi refused to be drawn into the making a ruling and asked MPs who felt aggrieved to petition the House Committee on Parliamentary Broadcasting to look into the matter and file its recommendations after 14 days.

Kichekesho: Pitia kisa kimoja cha mchaga na Dreva Taxi.



Hii leo na Kipanya

Hii nidyo tafsiri picha yenye maandishi ya mchoraji Kipanya. Haya sasa Mtazamaji dedevua

Hii nidyo tafsiri picha yenye maandishi ya mchoraji Kipanya. Haya sasa Mtazamaji dedevua

Golf play pros dont make very often "embarassing shot"


Lee Westwood whiffs a golf shot during the third round of the Players Championship

You ever have those moments on the golf course where you hit a shot and think, "Man, even a PGA Tour professional would be happy with that one"? Well Lee Westwood had a moment on Saturday at TPC Sawgrass where he might be thinking the complete opposite.
Stuck up against a tree on the first hole at the Players Championship, Westwood went after his ball and completely missed, leading to a double-bogey and a pretty embarrassing start to his bid for the fifth major.

 


Lee Westwood whiffs a golf shot during the third round of the Players Championship

You ever have those moments on the golf course where you hit a shot and think, "Man, even a PGA Tour professional would be happy with that one"? Well Lee Westwood had a moment on Saturday at TPC Sawgrass where he might be thinking the complete opposite.
Stuck up against a tree on the first hole at the Players Championship, Westwood went after his ball and completely missed, leading to a double-bogey and a pretty embarrassing start to his bid for the fifth major.

 

In Nairobi: Wanafunzi wote kupatiwa Komputa Kenya

Shukrani kwa wachina kwani wanasiasa maarufu nchini kenya watakuwa wamefanikiwa adhma yao ya kuwapatia watoto wa Kenya (wanafunzi) komputa. wasichoelewa watoto hao wa Kenya na waalimu ni kama komputa hizo ni za kweli au la maana walio wengi kati yao awajawahi kuona komputa.

Shukrani kwa wachina kwani wanasiasa maarufu nchini kenya watakuwa wamefanikiwa adhma yao ya kuwapatia watoto wa Kenya (wanafunzi) komputa. wasichoelewa watoto hao wa Kenya na waalimu ni kama komputa hizo ni za kweli au la maana walio wengi kati yao awajawahi kuona komputa.

Bet you never had a play date quite like this


Adopted Cheetahs Form Unusual Bond With Toddlers

For parents Hein and Kim Schoeman, allowing two cheetahs to play with their toddlers is an everyday occurrence because the young children have formed an unusual bond with the wild cats.
One-year-old Kayla and her 3-year-old brother, Malan, treat the cheetahs as ordinary house cats in their home in South Africa. The relationship between the family and cheetahs is the subject of their new documentary titled "Cheetah House."
The cheetahs are never excluded from family activities such as cuddling with the toddlers, taking a ride and roaming the house without a leash. It might be a dicey lifestyle for some, but for the Schoemans, experienced animal trainers who live and work on a reserve, it's their bid to show how people and wild animals can bond.
"At the end of the day, it all boils down to how humans and nature can live together and respect each other. That's what it's about," Hein Schoeman said in a Skype interview with ABC News.
The cheetahs, Wakku and Skyla, were born about a year ago at an animal reserve in Albertinia, South Africa. The couple didn't think the mother cheetah could take care of all four cheetah babies.
Wakku and Skyla were not getting enough milk and nutrition and the Schoemans feared they were going to die. That's when they stepped in and adopted the cubs, and welcomed them into their home.
"When you raise them, it's extremely strict. You need to establish dominance and respect first of all and maintain that," Schoeman said.
Jack Hanna, director emeritus of the Columbus Zoo in Ohio, saw the video of the Schoemans' children cuddling with Wakku and Skyla. Hanna says cheetahs are actually gentle creatures but cautioned that this is not something people should try at home even though it makes for a great Facebook default photo.
"No, it's not a good idea because this is not something you're going to go out and do yourself," Hanna warned.
Cheetahs, the world's fastest animal on land, were once kept as companions to pharaohs of ancient Egypt.
The Schoemans are training Wakku and Skyla to hunt so they could one day leave the house and enter into the wild.
Zookeeper Hanna said, "So when they go visit their cheetah out in the wild someday, they'll be in that land rover, seeing that beautiful creature out there 100, 200 yards away. That's how far they'll stay away from it. Let him be a cheetah."
Until then, the Schoemans say they have been "very lucky" to have this extraordinary experience.

Adopted Cheetahs Form Unusual Bond With Toddlers

For parents Hein and Kim Schoeman, allowing two cheetahs to play with their toddlers is an everyday occurrence because the young children have formed an unusual bond with the wild cats.
One-year-old Kayla and her 3-year-old brother, Malan, treat the cheetahs as ordinary house cats in their home in South Africa. The relationship between the family and cheetahs is the subject of their new documentary titled "Cheetah House."
The cheetahs are never excluded from family activities such as cuddling with the toddlers, taking a ride and roaming the house without a leash. It might be a dicey lifestyle for some, but for the Schoemans, experienced animal trainers who live and work on a reserve, it's their bid to show how people and wild animals can bond.
"At the end of the day, it all boils down to how humans and nature can live together and respect each other. That's what it's about," Hein Schoeman said in a Skype interview with ABC News.
The cheetahs, Wakku and Skyla, were born about a year ago at an animal reserve in Albertinia, South Africa. The couple didn't think the mother cheetah could take care of all four cheetah babies.
Wakku and Skyla were not getting enough milk and nutrition and the Schoemans feared they were going to die. That's when they stepped in and adopted the cubs, and welcomed them into their home.
"When you raise them, it's extremely strict. You need to establish dominance and respect first of all and maintain that," Schoeman said.
Jack Hanna, director emeritus of the Columbus Zoo in Ohio, saw the video of the Schoemans' children cuddling with Wakku and Skyla. Hanna says cheetahs are actually gentle creatures but cautioned that this is not something people should try at home even though it makes for a great Facebook default photo.
"No, it's not a good idea because this is not something you're going to go out and do yourself," Hanna warned.
Cheetahs, the world's fastest animal on land, were once kept as companions to pharaohs of ancient Egypt.
The Schoemans are training Wakku and Skyla to hunt so they could one day leave the house and enter into the wild.
Zookeeper Hanna said, "So when they go visit their cheetah out in the wild someday, they'll be in that land rover, seeing that beautiful creature out there 100, 200 yards away. That's how far they'll stay away from it. Let him be a cheetah."
Until then, the Schoemans say they have been "very lucky" to have this extraordinary experience.

Mashoga yakiume yafumaniwa Gesti House ni Waume za Watu




MWANAUME aliyefahamika kwa jina la baba Salome, mkazi wa Tandika jijini Dar es Salaam, hivi karibuni alimdhalilisha mkewe (mama Salome) baada ya kufumaniwa gesti akiwa na mwanaume mwenzake ambapo madai yalisema, walikuwa katika hatua za mwisho za kuingiliana kimwili...

Aibu hiyo ya mwaka ambayo ilionekana pia kama kituko ilijiri Mei 3, mwaka huu ndani ya gesti moja maarufu iliyopo Devi’s Corner –Tandika, jijini Dar es Salaam.

Awali ilidaiwa kuwa, mwanaume huyo na baba Salome mwenye mke na watoto wawili wanaomtegemea kwa kila kitu, walionekana wakiingia kwenye gesti moja ambayo pia ipo maeneo hayo hali iliyozua maswali kwa watu waliokuwa wakiwafahamu.


“Unajua tatizo lilianzia wapi? Baba Salome na yule mwanaume mwenzake walionekana wakiingia gesti moja kisha wakatoka, wakaingia nyingine pia wakatoka, ndipo watu wanaowafahamu wakajiuliza kulikoni wawili hao kutembelea gesti siku hiyo, wakawafuatilia,” alisema mnyetishaji mmoja.


Akaendelea: Lakini watu waliwafahamu kwa namna mbili tofauti, baba Salome ni mtulivu, mwadilifu, mwenzake watu wanasema ana ‘katabia’ ka kutaka kuwa faragha na  wanaume wenzake bila kujulikana nini anakitaka katika usiri huo.


 Madai zaidi yakawekwa wazi kwamba, baadhi ya watu walikwenda kwenye gesti walizokwenda wawili hao na kuulizia nini walikuwa wanakitaka, ndipo siri ikawekwa wazi kwamba wanatafuta chumba cha kupumzika kwa siku hiyo lakini kwa sheria za Jiji la Dar es Salaam (kama siyo za nchi nzima), wanaume wawili hawaruhusiwi kulala chumba kimoja.
 
Chanzo kikasema: Wambeya wakawaona wakiingia kwenye gesti ya tukio, wakapewa chumba. Ndipo wakakimbia nyumbani kwa baba Salome na kumtonya mkewe, mama Salome kwamba mumewe ameingia gesti.

 Kichekesho zaidi kinaangushwa kwamba, baada ya kuambiwa mumewe amezama gesti, mama Salome ambaye ndiyo kwanza alikuwa amefika kutoka  kwenye mikopo ya Finca, alitoka mbio huku akisema anakwenda kumtoa sikio la kulia Kidawa akiamini mumewe ameingia gesti na mwanamke huyo. “Watu walimwambia mumewe hakuingia gesti na Kidawa bali mwanaume mwenzake. Kwanza mama Salome aliomba asitaniwe juu ya hilo, lakini akasisitiziwa,” alisema mtoa habari huyo. 

 Akizungumza kwa jazba na waandishi wetu nje ya gesti hiyo, mama Salome alisema kwamba alipata taarifa siku nyingi mumewe ana ukaribu na mwanaume huyo ambaye mitaani watu wanasema  anajihusisha na vitendo vya ushoga.

“Nilipozipata taarifa hizi sikuziamini, nilidhani ni Kidawa ndiyo kaingia gesti na mume wangu, maana Kidawa ndiye mbaya wangu,” alisema mwanamke huyo kisha akazama ndani ya gesti akiwa na polisi ambao haikujulikana walikotokea.


Huku mumewe na mwanaume mwenzake wakiwa hawana hili wala lile kule chumbani, mlango ulisukumwa na kufunguka ambapo mwanamke huyo aliwakuta wawili hao wakiwa wameshavua baadhi ya nguo.


Wote walishtuka kuona wameingiliwa!  “Yaani roho inauma sana, sijui ni kitu gani umekosa kwangu mpaka unakuja kwa mwanaume mwenzako jamani baba Salome,” alisema huku akilia mama Salome.

Baada ya kugundua wamenaswa, mwanamke aliyekuwa na baba Salome aliangua kilio huku  akiomba kusamehewa kwa vile yeye ni mume wa mtu, lakini kilio chake hakikusikika kwa polisi ambapo waliwafunga pingu na kuwataka kuelekea katika kituo cha polisi.

 Hata hivyo, pamoja na kilio hicho mwanaume huyo aliishia kuswekwa lupango na baadaye kuhamishiwa katika Kituo cha Polisi cha Chang’ombe kwa hatua zaidi.



MWANAUME aliyefahamika kwa jina la baba Salome, mkazi wa Tandika jijini Dar es Salaam, hivi karibuni alimdhalilisha mkewe (mama Salome) baada ya kufumaniwa gesti akiwa na mwanaume mwenzake ambapo madai yalisema, walikuwa katika hatua za mwisho za kuingiliana kimwili...

Aibu hiyo ya mwaka ambayo ilionekana pia kama kituko ilijiri Mei 3, mwaka huu ndani ya gesti moja maarufu iliyopo Devi’s Corner –Tandika, jijini Dar es Salaam.

Awali ilidaiwa kuwa, mwanaume huyo na baba Salome mwenye mke na watoto wawili wanaomtegemea kwa kila kitu, walionekana wakiingia kwenye gesti moja ambayo pia ipo maeneo hayo hali iliyozua maswali kwa watu waliokuwa wakiwafahamu.


“Unajua tatizo lilianzia wapi? Baba Salome na yule mwanaume mwenzake walionekana wakiingia gesti moja kisha wakatoka, wakaingia nyingine pia wakatoka, ndipo watu wanaowafahamu wakajiuliza kulikoni wawili hao kutembelea gesti siku hiyo, wakawafuatilia,” alisema mnyetishaji mmoja.


Akaendelea: Lakini watu waliwafahamu kwa namna mbili tofauti, baba Salome ni mtulivu, mwadilifu, mwenzake watu wanasema ana ‘katabia’ ka kutaka kuwa faragha na  wanaume wenzake bila kujulikana nini anakitaka katika usiri huo.


 Madai zaidi yakawekwa wazi kwamba, baadhi ya watu walikwenda kwenye gesti walizokwenda wawili hao na kuulizia nini walikuwa wanakitaka, ndipo siri ikawekwa wazi kwamba wanatafuta chumba cha kupumzika kwa siku hiyo lakini kwa sheria za Jiji la Dar es Salaam (kama siyo za nchi nzima), wanaume wawili hawaruhusiwi kulala chumba kimoja.
 
Chanzo kikasema: Wambeya wakawaona wakiingia kwenye gesti ya tukio, wakapewa chumba. Ndipo wakakimbia nyumbani kwa baba Salome na kumtonya mkewe, mama Salome kwamba mumewe ameingia gesti.

 Kichekesho zaidi kinaangushwa kwamba, baada ya kuambiwa mumewe amezama gesti, mama Salome ambaye ndiyo kwanza alikuwa amefika kutoka  kwenye mikopo ya Finca, alitoka mbio huku akisema anakwenda kumtoa sikio la kulia Kidawa akiamini mumewe ameingia gesti na mwanamke huyo. “Watu walimwambia mumewe hakuingia gesti na Kidawa bali mwanaume mwenzake. Kwanza mama Salome aliomba asitaniwe juu ya hilo, lakini akasisitiziwa,” alisema mtoa habari huyo. 

 Akizungumza kwa jazba na waandishi wetu nje ya gesti hiyo, mama Salome alisema kwamba alipata taarifa siku nyingi mumewe ana ukaribu na mwanaume huyo ambaye mitaani watu wanasema  anajihusisha na vitendo vya ushoga.

“Nilipozipata taarifa hizi sikuziamini, nilidhani ni Kidawa ndiyo kaingia gesti na mume wangu, maana Kidawa ndiye mbaya wangu,” alisema mwanamke huyo kisha akazama ndani ya gesti akiwa na polisi ambao haikujulikana walikotokea.


Huku mumewe na mwanaume mwenzake wakiwa hawana hili wala lile kule chumbani, mlango ulisukumwa na kufunguka ambapo mwanamke huyo aliwakuta wawili hao wakiwa wameshavua baadhi ya nguo.


Wote walishtuka kuona wameingiliwa!  “Yaani roho inauma sana, sijui ni kitu gani umekosa kwangu mpaka unakuja kwa mwanaume mwenzako jamani baba Salome,” alisema huku akilia mama Salome.

Baada ya kugundua wamenaswa, mwanamke aliyekuwa na baba Salome aliangua kilio huku  akiomba kusamehewa kwa vile yeye ni mume wa mtu, lakini kilio chake hakikusikika kwa polisi ambapo waliwafunga pingu na kuwataka kuelekea katika kituo cha polisi.

 Hata hivyo, pamoja na kilio hicho mwanaume huyo aliishia kuswekwa lupango na baadaye kuhamishiwa katika Kituo cha Polisi cha Chang’ombe kwa hatua zaidi.

"Hata Tukifeli Matokea yakafutwa"


"Hata Tukifeli Matokea yakafutwa"
Najiuliza nini Kilikuwa kinaendelea hapa Sipati Jibu.....Wewe Je unasemaje kuhusu hii Picha ...

"Hata Tukifeli Matokea yakafutwa"
Najiuliza nini Kilikuwa kinaendelea hapa Sipati Jibu.....Wewe Je unasemaje kuhusu hii Picha ...

Baada ya Kufukuzwa Kwenye Kipindi EATV kwa Kuvaa Ndala sasa Juma Nature Anzisha Biashara ya Kuuza Ndala

Suala la mtangazaji wa EATV Sam Misago kumtoa nje ya studio Juma Nature kutokana na kuvaa ndala, limemsaidia kiongozi huyo wa Wanaume Halisi kuanzisha biashara mpya, ya ndala

 Akiongea na XXL ya Clouds FM, Nature amesema tayari ameshasaini mkataba na kampuni moja kuanza kuuza ndali hizo ziitwazo Halisi na wiki ijayo zinaweza kuingia mtaani.
Suala la mtangazaji wa EATV Sam Misago kumtoa nje ya studio Juma Nature kutokana na kuvaa ndala, limemsaidia kiongozi huyo wa Wanaume Halisi kuanzisha biashara mpya, ya ndala

 Akiongea na XXL ya Clouds FM, Nature amesema tayari ameshasaini mkataba na kampuni moja kuanza kuuza ndali hizo ziitwazo Halisi na wiki ijayo zinaweza kuingia mtaani.

GARDNER: Ningekuwa sijaoa ningemuoa Vanesa Mdee



MUME wa Legend wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jadee’, Gardner G Habash ‘Kapteini’ aliwaacha watu midomo wazi baada ya kusema kama angekuwa hajaoa, basi angemuoa msanii anayekuja kwa kasi kwenye gemu, Vanessa Mdee
“Kiukweli Vanesa ni msanii mzuri, ana uwezo mkubwa wa kufanya muziki wa Hip Hop na kulitawala jukwaa. Ningekuwa sijaoa kwa kweli ningemuoa Vanesa Mdee,” alisema Gardner.
Mbali na Vanesa, wasanii wengine wanaounda familia ya B Heatz walipata nafasi ya kutumbuiza katika hafla hiyo akiwemo mkongwe, Ally Baucha.
chanzo:globalpublishers.


MUME wa Legend wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jadee’, Gardner G Habash ‘Kapteini’ aliwaacha watu midomo wazi baada ya kusema kama angekuwa hajaoa, basi angemuoa msanii anayekuja kwa kasi kwenye gemu, Vanessa Mdee
“Kiukweli Vanesa ni msanii mzuri, ana uwezo mkubwa wa kufanya muziki wa Hip Hop na kulitawala jukwaa. Ningekuwa sijaoa kwa kweli ningemuoa Vanesa Mdee,” alisema Gardner.
Mbali na Vanesa, wasanii wengine wanaounda familia ya B Heatz walipata nafasi ya kutumbuiza katika hafla hiyo akiwemo mkongwe, Ally Baucha.
chanzo:globalpublishers.

Salma Akibadilishana mate na Njemba


LIVE: SALAMA JABIR "AKIBADILISHANA MATE" NA NJEMBA HADHARANI 
Mambo vipi mpekuzi....

Katika pitapita zangu nimefanikiwa kumnasa live Salama Jabir akinyonyana ndimi bila chenga na mwenzake...!!

Nashindwa kuthibitisha huyo wa pili ni nani na ni jinsia gani....nikimwangalia haraka haraka naona kama ni mwanaume na namfananisha na mdogo wake Wema Sepetu aitwaye Bill Sepetu.....

Nikijaribu kukaza macho kwa kwa makini, huyo wa pili namuona kama ni mwanamke kutokana na vazi lake.Hicho cha mabegani nakifananisha na sidiria za akina dada....!!

Yaani nimeumiza macho mpaka yanauma...Nashindwa kuyaamini macho yangu kuhusu Salama Jabir.Sikutegemea
..!!

Ni mimi,
Mdau wenu...

LIVE: SALAMA JABIR "AKIBADILISHANA MATE" NA NJEMBA HADHARANI 
Mambo vipi mpekuzi....

Katika pitapita zangu nimefanikiwa kumnasa live Salama Jabir akinyonyana ndimi bila chenga na mwenzake...!!

Nashindwa kuthibitisha huyo wa pili ni nani na ni jinsia gani....nikimwangalia haraka haraka naona kama ni mwanaume na namfananisha na mdogo wake Wema Sepetu aitwaye Bill Sepetu.....

Nikijaribu kukaza macho kwa kwa makini, huyo wa pili namuona kama ni mwanamke kutokana na vazi lake.Hicho cha mabegani nakifananisha na sidiria za akina dada....!!

Yaani nimeumiza macho mpaka yanauma...Nashindwa kuyaamini macho yangu kuhusu Salama Jabir.Sikutegemea
..!!

Ni mimi,
Mdau wenu...

In Kampala: City noise makers face prosecution


If you are making noise in the city, watch out. You could be dragged to court like the proprietor of PTC Bar on Salaam Road.
Mr William Mitanda yesterday appeared before the City Hall Magistrate Court for allegedly causing excessive noise and operating a business without a valid trading licence. According to Kampala Capital City Authority (KCCA), noise pollution is contrary to the rules 7(e) and 27 of the Local government (KCC) Maintenance of Law and Order Ordinance 2006 for the first account.
It is alleged that Mr Mitanda between December 2012 and March 2013 near Kirekaana Stage in Makindye Division played loud music using speakers. The Grade One Magistrate, Mr Julius Barore, said the suspect’s act was a noise nuisance to neighbouring communities.
Mr Peter Kaujju, the KCCA spokesperson, in an interview with the Daily Monitor, yesterday said the law was non discriminatory, adding that the authority had procured noise measuring equipments. “Regardless of who is making the noise, the law does not segregate,” Mr Kaujju said, adding that: “If we move in to enforce the law, no one will be excluded.”
Bars, churches, mosques and taxi touts could be affected should KCCA implement it. “Some people have already been charged for causing excessive noise,” he said, adding: “If you are enjoying your rights, you should not violet other people’s rights.” The KCCA spokesperson said those who intend to cause noise should seek permission.

If you are making noise in the city, watch out. You could be dragged to court like the proprietor of PTC Bar on Salaam Road.
Mr William Mitanda yesterday appeared before the City Hall Magistrate Court for allegedly causing excessive noise and operating a business without a valid trading licence. According to Kampala Capital City Authority (KCCA), noise pollution is contrary to the rules 7(e) and 27 of the Local government (KCC) Maintenance of Law and Order Ordinance 2006 for the first account.
It is alleged that Mr Mitanda between December 2012 and March 2013 near Kirekaana Stage in Makindye Division played loud music using speakers. The Grade One Magistrate, Mr Julius Barore, said the suspect’s act was a noise nuisance to neighbouring communities.
Mr Peter Kaujju, the KCCA spokesperson, in an interview with the Daily Monitor, yesterday said the law was non discriminatory, adding that the authority had procured noise measuring equipments. “Regardless of who is making the noise, the law does not segregate,” Mr Kaujju said, adding that: “If we move in to enforce the law, no one will be excluded.”
Bars, churches, mosques and taxi touts could be affected should KCCA implement it. “Some people have already been charged for causing excessive noise,” he said, adding: “If you are enjoying your rights, you should not violet other people’s rights.” The KCCA spokesperson said those who intend to cause noise should seek permission.

BBA winner shrugs off wedding rumour

A recent photo posted on Instagram and widely circulated on Facebook has caused a stir as many fans attribute it to be the wedding ceremony of ‘Jara’ anchorman, Uti Nwachukwu.

The Big Brother Africa winner told ‘Weekend Magazine’ that “it was a video shoot for Flavour’s video. We came to Enugu to shoot.”

Describing the experience as great, he said, “the last time I was in Enugu was in 2003 while I was still in the University of Nigeria Nsukka. So, it was like reconnecting with my roots. I realised how much I’ve missed my Igbo brothers and sisters.

The experience which Uti said is a first of its kind for him has increased his admiration for the ‘Kporokonto’ artiste by 120 per cent. “I can’t wait to work with Clarence Peters again. He is my kind of director who wastes no time doing irrelevant things. He was straight to the point and very professional. I can’t wait to see the video,” he added.

On the comments about the video being of his actual wedding, he said, “I’m happy for the reactions because this way, when I really get married people won’t know. (Laughter) I intend to have a very private and low key wedding.

On when his actual wedding would be, he said, “I’ll marry whenever God says its time for me to marry I will. Sadly you might not get to see it, because it will be super private and super intimate and family themed.”
A recent photo posted on Instagram and widely circulated on Facebook has caused a stir as many fans attribute it to be the wedding ceremony of ‘Jara’ anchorman, Uti Nwachukwu.

The Big Brother Africa winner told ‘Weekend Magazine’ that “it was a video shoot for Flavour’s video. We came to Enugu to shoot.”

Describing the experience as great, he said, “the last time I was in Enugu was in 2003 while I was still in the University of Nigeria Nsukka. So, it was like reconnecting with my roots. I realised how much I’ve missed my Igbo brothers and sisters.

The experience which Uti said is a first of its kind for him has increased his admiration for the ‘Kporokonto’ artiste by 120 per cent. “I can’t wait to work with Clarence Peters again. He is my kind of director who wastes no time doing irrelevant things. He was straight to the point and very professional. I can’t wait to see the video,” he added.

On the comments about the video being of his actual wedding, he said, “I’m happy for the reactions because this way, when I really get married people won’t know. (Laughter) I intend to have a very private and low key wedding.

On when his actual wedding would be, he said, “I’ll marry whenever God says its time for me to marry I will. Sadly you might not get to see it, because it will be super private and super intimate and family themed.”

Baada ya Kufanya Kazi ya Kujiuza Usiku Mzima Hivi Ndivyo Machangudoa Wanavyolala Baada ya Kazi


Baada ya Kufanya Kazi ya Kujiuza Usiku Mzima Hivi Ndivyo Machangudoa Wanavyolala Baada ya Kazi, Wengi wao wamekodisha chumba kimoja wakisaidiana kulipia kodi...Hapa ni maeneo ya mwanyamala Mida ya mchana wakisubiri usiku uingie waende kazini.

Baada ya Kufanya Kazi ya Kujiuza Usiku Mzima Hivi Ndivyo Machangudoa Wanavyolala Baada ya Kazi, Wengi wao wamekodisha chumba kimoja wakisaidiana kulipia kodi...Hapa ni maeneo ya mwanyamala Mida ya mchana wakisubiri usiku uingie waende kazini.