Showing posts with label Mapenzi. Show all posts

MLIE TUU ! WASTARA HATAOLEWA BONGO TENA


Na Imelda Mtema
KAKA wa staa wa Filamu za Kibongo, Wastara Juma aitwaye Juma Juma ameliambia Risasi Mchanganyiko kwamba dada yake hatafunga  tena ndoa nyingine hapa nchini.

“Iwapo dada yangu akitaka kuolewa atafanya hivyo Uarabuni siyo hapa kabisa,” alisema kaka huyo na kudai kuwa ameshuhudia mateso mengi ya dada yake kwa wanaume wa Kitanzania.

Kaka huyo amesisitiza kwamba wanaume wasipate tabu ya kumuuliza dada yake kuhusu suala la ndoa kwani watajisumbua bure.
Juma alizungumza kwa niaba ya dada yake ambaye awali alipigiwa simu ili kuulizwa kama alikuwa na mpango wa kufunga ndoa nyingine hapa nchini.

Hata hivyo, Wastara alimwachia kaka yake huyo kujibu badala yake, ingawaje kaka huyo hakufafanua kama dada yake ameshapata mtu wa kufunga naye ndoa huko Uarabuni.

Wastara alifunga ndoa tatu na wanaume tofauti na mume wake wa mwisho alikuwa msanii wa filamu, Juma Juma Kilowoko ‘Sajuki’ aliyefariki dunia mapema mwaka huu.

Source:Global Publishers

Na Imelda Mtema
KAKA wa staa wa Filamu za Kibongo, Wastara Juma aitwaye Juma Juma ameliambia Risasi Mchanganyiko kwamba dada yake hatafunga  tena ndoa nyingine hapa nchini.

“Iwapo dada yangu akitaka kuolewa atafanya hivyo Uarabuni siyo hapa kabisa,” alisema kaka huyo na kudai kuwa ameshuhudia mateso mengi ya dada yake kwa wanaume wa Kitanzania.

Kaka huyo amesisitiza kwamba wanaume wasipate tabu ya kumuuliza dada yake kuhusu suala la ndoa kwani watajisumbua bure.
Juma alizungumza kwa niaba ya dada yake ambaye awali alipigiwa simu ili kuulizwa kama alikuwa na mpango wa kufunga ndoa nyingine hapa nchini.

Hata hivyo, Wastara alimwachia kaka yake huyo kujibu badala yake, ingawaje kaka huyo hakufafanua kama dada yake ameshapata mtu wa kufunga naye ndoa huko Uarabuni.

Wastara alifunga ndoa tatu na wanaume tofauti na mume wake wa mwisho alikuwa msanii wa filamu, Juma Juma Kilowoko ‘Sajuki’ aliyefariki dunia mapema mwaka huu.

Source:Global Publishers

LIYUMBA AKWAA BALAA JIPYA,YEYE NA MKEWE HAPATOSHI

MNAMKUMBUKA aliyekuwa kigogo wa Benki Kuu ya Tanzania aliyefungwa jela miaka miwili kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka na ufujaji wa mali za umma, Amatus Joackim Liyumba? Basi amekwaa balaa jipya, Uwazi linajua kila kitu
Liyumba na mwanamke aliyedai ni mke wake, Aurelia Paulo Ngowi wamefikishana Mahakama ya Kinondoni, Dar kisa kikidaiwa ni mzee huyo kumtaka mwanamke huyo kuondoka haraka kwenye nyumba anayoishi na watoto wao wawili.
Nyumba hiyo ipo Mbezi ya Afrikana, jijini Dar. Mbali na kuwa makazi, lakini sehemu ya mbele ya nyumba hiyo ni Hoteli Amjen yenye kupata wateja kila siku.
Jina la Amjen linadaiwa ni muuganiko wa majina ya Amatus na Jennifer ambaye ni mtoto mmoja kati ya hao wawili wa mzee huyo. 
Aurelia ndiye aliyekimbilia mahakamani kuomba msaada ambapo shauri lake lilifunguliwa kwa namba 59, 2013 mbele ya hakimu mkazi wa mahakama hiyo aliyejulikana kwa jina moja la Rugemalira.
Baada ya ombi hilo, mahakama ilimwamuru Liyumba kumwacha mkewe na watoto hao waendelee kuishi kwenye nyumba hiyo mpaka shauri hilo litakapotatuliwa kisheria.
Haikujulikana mara moja kama Liyumba anataka mkewe na watoto waondoke kwenye nyumba hiyo na yeye kwa sasa anaishi wapi. 
Jitihada za kumtafuta zilifanyika, simu yake ya mkononi haikuwa hewani huku ikidaiwa kwamba namba husika haitumii tena.
Baadhi ya watu wake wa karibu waliliambia Uwazi kwamba, kwa sasa Liyumba anaishi Kinondoni, Dar es Salaam lakini kupatikana kwenye simu ni ishu nyingine.

MNAMKUMBUKA aliyekuwa kigogo wa Benki Kuu ya Tanzania aliyefungwa jela miaka miwili kwa makosa ya matumizi mabaya ya madaraka na ufujaji wa mali za umma, Amatus Joackim Liyumba? Basi amekwaa balaa jipya, Uwazi linajua kila kitu
Liyumba na mwanamke aliyedai ni mke wake, Aurelia Paulo Ngowi wamefikishana Mahakama ya Kinondoni, Dar kisa kikidaiwa ni mzee huyo kumtaka mwanamke huyo kuondoka haraka kwenye nyumba anayoishi na watoto wao wawili.
Nyumba hiyo ipo Mbezi ya Afrikana, jijini Dar. Mbali na kuwa makazi, lakini sehemu ya mbele ya nyumba hiyo ni Hoteli Amjen yenye kupata wateja kila siku.
Jina la Amjen linadaiwa ni muuganiko wa majina ya Amatus na Jennifer ambaye ni mtoto mmoja kati ya hao wawili wa mzee huyo. 
Aurelia ndiye aliyekimbilia mahakamani kuomba msaada ambapo shauri lake lilifunguliwa kwa namba 59, 2013 mbele ya hakimu mkazi wa mahakama hiyo aliyejulikana kwa jina moja la Rugemalira.
Baada ya ombi hilo, mahakama ilimwamuru Liyumba kumwacha mkewe na watoto hao waendelee kuishi kwenye nyumba hiyo mpaka shauri hilo litakapotatuliwa kisheria.
Haikujulikana mara moja kama Liyumba anataka mkewe na watoto waondoke kwenye nyumba hiyo na yeye kwa sasa anaishi wapi. 
Jitihada za kumtafuta zilifanyika, simu yake ya mkononi haikuwa hewani huku ikidaiwa kwamba namba husika haitumii tena.
Baadhi ya watu wake wa karibu waliliambia Uwazi kwamba, kwa sasa Liyumba anaishi Kinondoni, Dar es Salaam lakini kupatikana kwenye simu ni ishu nyingine.

HUNITAKI TENA KWA SABABU UMEPATA MWINGINE SASA KWA NINI UNANIVUA NGUO KWA MARAFIKI ZAKO?



Mimi ni Msichana wa Miaka 25 imetokea bahati mbaya tumeachana na Mchumba wangu baada ya yeye kupata msichana mwingine nimelia sana ili turudiane lakini wapi , kibaya zaidi akiwa na marafiki zake ananiongelea mimi kuwa eti sijui mapenzi ya kitandani kuwa eti huwa tukifanya nalala kama mgomba ...na mengine mengi ya siri ambayo labda ni kweli ama si kweli ....Sasa nashindwa kuelewa kwanini anivue nguo mbele ya rafiki zake baada ya kuachana ....naona aibu hata kupita mtaaani anaongea sana jamani ...Nifanyaje?


Mimi ni Msichana wa Miaka 25 imetokea bahati mbaya tumeachana na Mchumba wangu baada ya yeye kupata msichana mwingine nimelia sana ili turudiane lakini wapi , kibaya zaidi akiwa na marafiki zake ananiongelea mimi kuwa eti sijui mapenzi ya kitandani kuwa eti huwa tukifanya nalala kama mgomba ...na mengine mengi ya siri ambayo labda ni kweli ama si kweli ....Sasa nashindwa kuelewa kwanini anivue nguo mbele ya rafiki zake baada ya kuachana ....naona aibu hata kupita mtaaani anaongea sana jamani ...Nifanyaje?

You may not believe these breakup stories

You may not believe these breakup stories. (Thinkstock)
7 stories that prove good breakups are possible 
Just as the summer heat comes on strong in June then dwindles by Labor Day, so too can summer romances. Though many summer breakups are laden with heartache, others will have a slightly less dramatic (and sometimes, even a surprisingly happy) ending. If you think all breakups require purchasing a case of Kleenex to get through, consider these seven true stories of summer love that ended on a high note:

He started out seeing one sister, but married the other
“About five years ago, I met Sara at a Memorial Day barbecue and we began going out. We had fun together — I wasn’t sure it was anything that was heading us towards marriage, but I had a good time with her, regardless. She must have felt the same way too, because a few weeks into our dating, she said, ‘You know, you’re a great guy, and at the risk of sounding totally weird, I think you would really hit it off with my sister, Kathy.’ Even though the rejection stung a little, I said I was up for meeting her sister. Good thing I did — Sara was the maid of honor when Kathy and I got married.”
– Jeremy Barnes, Youngstown, OH


Her “shoulder to cry on” turned into The One
“A few summers ago, I broke up with my boyfriend because he got a job in another state and was moving away. I was so sad, and I turned to my friend Adam for a shoulder to cry on. Adam listened and never made any sort of move on me; he really was just being a good friend. During the aftermath of the breakup, I kept wishing that my next boyfriend would be more like Adam. After thinking that he was too good to go to waste, I set Adam up with a friend of mine and we went on a double date together. At the end of the night, my friend said that it was obvious that the two people having the most fun were Adam and me. We began dating soon after that, and then got married a few years ago — and now we have a kid together!”

Their post-graduation split spawned a lifelong friendship
“My law school boyfriend and I had a really nice relationship, but there was not much passion there. More than anything, we were best friends. I think we both realized it, and we broke up during the summer after graduation. It was harder than I thought; I missed him so much, even though I knew it was the right thing to do. A couple of nights after we broke up, he called and said: ‘I just broke up with my girlfriend and I am feeling so sad. I wanted to call and speak with my best friend about it.’ I told him that I just broke up with my boyfriend, too, and would love to talk to my best friend about it as well. We spent the next few hours on the phone talking about both of our breakups, but it really was as if we were best friends helping each other out. We are both married to other people now, but are still really good friends to this very day.”
– Jane Kirkland, Fairfax, VA

Ending their office romance pushed him higher up the corporate ladder
“I know everyone tells you to never do this, but one summer, I became romantically involved with my boss. I think I was a little more into her than she was into me, but we had a good relationship, despite the fact that we could never really tell anyone at work. I guess her feelings about me coupled with the stress of being deceitful to everyone at work became too much for her, because she eventually broke up with me. To ease the pain, she gave me a pretty significant promotion that nearly doubled my salary. My friends still tease me about it, because it ended up working out just fine for me in the end!”
- Erik Reese, Plano, TX

Getting dumped by her boyfriend helped introduce her to a best friend
“My boyfriend, Steve, broke up with me one night over dinner. I was so upset that I excused myself to go to the bathroom because I was such a crying mess. I guess I was locked in there for some time, because a waitress from the restaurant eventually knocked on the door to make sure I was OK. I ended up spilling my guts to this poor woman who was sweetly bringing me tissues and listening to my story when she probably should have been working. After I cleaned myself up, she asked me for my number so she could call me the next day and check on me... and sure enough, she did. We started hanging out after that and have been great friends ever since. Our friendship was worth all of those tears!”
– Beth Mays, Nashville, TN

He stayed tuned in to her frequency, despite their initial distance
“One summer when I was in grad school, I interned at a radio station in New York and began dating someone who worked there. When the summer was over, we broke up because we decided the long-distance thing just wouldn’t work for us. It was so sad, because neither of us wanted it to end — it just sort of had to, but we vowed to keep in close touch with each other and remain friends. About three months into the fall semester, someone knocked on my front door. It was my ex; he had accepted a job at a different station in San Francisco. We resumed our relationship that day, and have been together ever since.”
– Heather Delgado, San Francisco, CA

Leaving after his betrayal was a piece of cake — literally
“My ex, Daniel, was a pastry chef at a restaurant that is internationally known for its unbelievably amazing chocolate cake. Tons of people — including myself — have tried to get the recipe for years unsuccessfully, because it is a closely guarded secret. We ended up breaking up because I discovered that he had cheated on me with a (now former) friend of mine. Of course, I was totally upset... but I decided to leverage his guilt in order to make him give me that coveted cake recipe. My relationship may be over, but I have since made and enjoyed that cake for years, which has been worth the loss of a boyfriend and so-called friend at the same time!”
– Jeannie Robertson, Dover, DE
You may not believe these breakup stories. (Thinkstock)
7 stories that prove good breakups are possible 
Just as the summer heat comes on strong in June then dwindles by Labor Day, so too can summer romances. Though many summer breakups are laden with heartache, others will have a slightly less dramatic (and sometimes, even a surprisingly happy) ending. If you think all breakups require purchasing a case of Kleenex to get through, consider these seven true stories of summer love that ended on a high note:

He started out seeing one sister, but married the other
“About five years ago, I met Sara at a Memorial Day barbecue and we began going out. We had fun together — I wasn’t sure it was anything that was heading us towards marriage, but I had a good time with her, regardless. She must have felt the same way too, because a few weeks into our dating, she said, ‘You know, you’re a great guy, and at the risk of sounding totally weird, I think you would really hit it off with my sister, Kathy.’ Even though the rejection stung a little, I said I was up for meeting her sister. Good thing I did — Sara was the maid of honor when Kathy and I got married.”
– Jeremy Barnes, Youngstown, OH


Her “shoulder to cry on” turned into The One
“A few summers ago, I broke up with my boyfriend because he got a job in another state and was moving away. I was so sad, and I turned to my friend Adam for a shoulder to cry on. Adam listened and never made any sort of move on me; he really was just being a good friend. During the aftermath of the breakup, I kept wishing that my next boyfriend would be more like Adam. After thinking that he was too good to go to waste, I set Adam up with a friend of mine and we went on a double date together. At the end of the night, my friend said that it was obvious that the two people having the most fun were Adam and me. We began dating soon after that, and then got married a few years ago — and now we have a kid together!”

Their post-graduation split spawned a lifelong friendship
“My law school boyfriend and I had a really nice relationship, but there was not much passion there. More than anything, we were best friends. I think we both realized it, and we broke up during the summer after graduation. It was harder than I thought; I missed him so much, even though I knew it was the right thing to do. A couple of nights after we broke up, he called and said: ‘I just broke up with my girlfriend and I am feeling so sad. I wanted to call and speak with my best friend about it.’ I told him that I just broke up with my boyfriend, too, and would love to talk to my best friend about it as well. We spent the next few hours on the phone talking about both of our breakups, but it really was as if we were best friends helping each other out. We are both married to other people now, but are still really good friends to this very day.”
– Jane Kirkland, Fairfax, VA

Ending their office romance pushed him higher up the corporate ladder
“I know everyone tells you to never do this, but one summer, I became romantically involved with my boss. I think I was a little more into her than she was into me, but we had a good relationship, despite the fact that we could never really tell anyone at work. I guess her feelings about me coupled with the stress of being deceitful to everyone at work became too much for her, because she eventually broke up with me. To ease the pain, she gave me a pretty significant promotion that nearly doubled my salary. My friends still tease me about it, because it ended up working out just fine for me in the end!”
- Erik Reese, Plano, TX

Getting dumped by her boyfriend helped introduce her to a best friend
“My boyfriend, Steve, broke up with me one night over dinner. I was so upset that I excused myself to go to the bathroom because I was such a crying mess. I guess I was locked in there for some time, because a waitress from the restaurant eventually knocked on the door to make sure I was OK. I ended up spilling my guts to this poor woman who was sweetly bringing me tissues and listening to my story when she probably should have been working. After I cleaned myself up, she asked me for my number so she could call me the next day and check on me... and sure enough, she did. We started hanging out after that and have been great friends ever since. Our friendship was worth all of those tears!”
– Beth Mays, Nashville, TN

He stayed tuned in to her frequency, despite their initial distance
“One summer when I was in grad school, I interned at a radio station in New York and began dating someone who worked there. When the summer was over, we broke up because we decided the long-distance thing just wouldn’t work for us. It was so sad, because neither of us wanted it to end — it just sort of had to, but we vowed to keep in close touch with each other and remain friends. About three months into the fall semester, someone knocked on my front door. It was my ex; he had accepted a job at a different station in San Francisco. We resumed our relationship that day, and have been together ever since.”
– Heather Delgado, San Francisco, CA

Leaving after his betrayal was a piece of cake — literally
“My ex, Daniel, was a pastry chef at a restaurant that is internationally known for its unbelievably amazing chocolate cake. Tons of people — including myself — have tried to get the recipe for years unsuccessfully, because it is a closely guarded secret. We ended up breaking up because I discovered that he had cheated on me with a (now former) friend of mine. Of course, I was totally upset... but I decided to leverage his guilt in order to make him give me that coveted cake recipe. My relationship may be over, but I have since made and enjoyed that cake for years, which has been worth the loss of a boyfriend and so-called friend at the same time!”
– Jeannie Robertson, Dover, DE

Beyoncé shares touching mother-daughter moment

Beyoncé has given a touching insight into her life as a mum by sharing an adorable picture of her with her daughter Blue Ivy.

In the heartwarming photograph shared on Tumblr, the superstar singer can be seen crouching down in a stunning red tulle dress with her swept up into a high beehive, beaming at her 16-month-old daughter. 

Just the small arm of Blue Ivy can be seen reaching out from her buggy, touching her mum on the tip of her nose with her index finger.
The beautiful snap is a real insight into the mother-daughter relationship that the two share. Beyoncé also posted a pic of her daughter with a jewelled crown on her head, making her baby girl the queen of the show.

Throughout her global tour, The Mrs. Carter Show world tour, mum-of-one Beyoncé has kept her daughter close by her side. The Single Ladies singer invested in a personalised director's chair for Blue Ivy, which bears her initials BIC, similar to a chair Beyoncé owns herself.
According to another picture that the star posted on her tumblr page, a director’s chair isn't the only purchase she has made for her baby daughter. A tiny, adorable gold-coloured tulle dress with a satin ribbon wrapped around the waist was shown on a hanger.


Another cute photo shows Beyoncé trying on a fuschia-coloured child-size high-heel with the velvet straps laced up to her ankle.

Beyoncé and Jay-Z previously said that Blue Ivy would not be without her home comforts while she accompanies her mum around the world. The couple said they planned to take furniture and toys the youngster is familiar with to stop her feeling homesick while on the road.

Beyoncé has spoken of her incredible bond with her daughter Blue Ivy: "When I get up in the morning, the best in the world is to see [her] face. [She is] Already starting to talk, every day is different and every day she learns something new."
Beyoncé has given a touching insight into her life as a mum by sharing an adorable picture of her with her daughter Blue Ivy.

In the heartwarming photograph shared on Tumblr, the superstar singer can be seen crouching down in a stunning red tulle dress with her swept up into a high beehive, beaming at her 16-month-old daughter. 

Just the small arm of Blue Ivy can be seen reaching out from her buggy, touching her mum on the tip of her nose with her index finger.
The beautiful snap is a real insight into the mother-daughter relationship that the two share. Beyoncé also posted a pic of her daughter with a jewelled crown on her head, making her baby girl the queen of the show.

Throughout her global tour, The Mrs. Carter Show world tour, mum-of-one Beyoncé has kept her daughter close by her side. The Single Ladies singer invested in a personalised director's chair for Blue Ivy, which bears her initials BIC, similar to a chair Beyoncé owns herself.
According to another picture that the star posted on her tumblr page, a director’s chair isn't the only purchase she has made for her baby daughter. A tiny, adorable gold-coloured tulle dress with a satin ribbon wrapped around the waist was shown on a hanger.


Another cute photo shows Beyoncé trying on a fuschia-coloured child-size high-heel with the velvet straps laced up to her ankle.

Beyoncé and Jay-Z previously said that Blue Ivy would not be without her home comforts while she accompanies her mum around the world. The couple said they planned to take furniture and toys the youngster is familiar with to stop her feeling homesick while on the road.

Beyoncé has spoken of her incredible bond with her daughter Blue Ivy: "When I get up in the morning, the best in the world is to see [her] face. [She is] Already starting to talk, every day is different and every day she learns something new."

WEMA SEPETU APOTEZA MVUTO....MIKOROGO YAMUATHIRI....MICHIRIZI YAANZA KUPANDA USONI




Matumizi mabaya ya vipodozi yameanza kumuathiri  wema  Sepetu  ambaye  ni  miss Tanzania  2006..
Wema  ambaye umri wake bado  haujamtupa  , hivi  sasa  anakabiriwa na tatizo la  ngozi  kutokana  na michirizi  kusambaa  mwili mzima  hasa  mapajani....
 Kamera  zetu  si  mara  ya  kwanza  kumshuhudia  Mrembo  huyu  akizingirwa  na  uzee  kwani  miezi  kadhaa  nyuma  tuliwahi andika  habari  inayofanana  na  hii  lakini  ikielezea  zaidi  michirizi  ya  mapajani....
Tofauti  na  hivyo, hivi  sasa  michirizi  hiyo   imekimbilia  kifuani  na  mabegani  hali  inayoashiria  kwamba  siku  si  nyingi  itahamia  usoni...
"Ukweli  Wema  Sepetu  sasa  amebaki sura  tu,mwili  umemtupa  kabisa .Nadhani  hii  yote  inatokana  na  matumizi  mabaya  ya  mikorogo"...alisema  shuhuda  mmoja  akimtazama  Wema sepetu  aliyekuwa  jaji  katika  shindano  moja  la  umiss  jijini  Dar

Baada  ya  kumsikia  shuhuda  huyo  akimtoa  kasoro  mrembo  huyo, mwandishi  wetu  alitinga  nyumbani  kwa  Wema  Sepetu  kufanya  naye  mahojiano  juu  ya jambo  hili
Alipofika  nyumbani  hapo, mwandishi  wetu  aligonga  geti  na  kufunguliwa  na  dada  mmoja  ambaye  alidai  kuwa  maadam Wema  alikuwa  amelala  na  kwamba  hawezi  kuamshwa mpaka  aamke  mwenyewe..



Matumizi mabaya ya vipodozi yameanza kumuathiri  wema  Sepetu  ambaye  ni  miss Tanzania  2006..
Wema  ambaye umri wake bado  haujamtupa  , hivi  sasa  anakabiriwa na tatizo la  ngozi  kutokana  na michirizi  kusambaa  mwili mzima  hasa  mapajani....
 Kamera  zetu  si  mara  ya  kwanza  kumshuhudia  Mrembo  huyu  akizingirwa  na  uzee  kwani  miezi  kadhaa  nyuma  tuliwahi andika  habari  inayofanana  na  hii  lakini  ikielezea  zaidi  michirizi  ya  mapajani....
Tofauti  na  hivyo, hivi  sasa  michirizi  hiyo   imekimbilia  kifuani  na  mabegani  hali  inayoashiria  kwamba  siku  si  nyingi  itahamia  usoni...
"Ukweli  Wema  Sepetu  sasa  amebaki sura  tu,mwili  umemtupa  kabisa .Nadhani  hii  yote  inatokana  na  matumizi  mabaya  ya  mikorogo"...alisema  shuhuda  mmoja  akimtazama  Wema sepetu  aliyekuwa  jaji  katika  shindano  moja  la  umiss  jijini  Dar

Baada  ya  kumsikia  shuhuda  huyo  akimtoa  kasoro  mrembo  huyo, mwandishi  wetu  alitinga  nyumbani  kwa  Wema  Sepetu  kufanya  naye  mahojiano  juu  ya jambo  hili
Alipofika  nyumbani  hapo, mwandishi  wetu  aligonga  geti  na  kufunguliwa  na  dada  mmoja  ambaye  alidai  kuwa  maadam Wema  alikuwa  amelala  na  kwamba  hawezi  kuamshwa mpaka  aamke  mwenyewe..

MAAJABU....MWANAMKE AOA WANAUME WAWILI WILAYA YA KATAVI TANZANIA


MWANAMKE mkazi wa kijiji cha Ikandamoyo, wilayani Katavi, Veronica Saleh ‘Mama Kaela’ (50), amefanya uamuzi adimu wa kuolewa na wanaume wawili ambao anaishi nao kijijini hapo.

Kijiji hicho kipo umbali wa takribani kilometa 30 kutoka mjini hapa katika Jimbo la Katavi linalowakilishwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda.

Pamoja na ndoa hiyo iliyowezeshwa na mume mkubwa kukubali kuishi na mume mdogo, imeelezwa kuwa mwanamke huyo ndiye ‘aliyewaoa’ wanaume hao kwa zaidi ya miaka saba sasa, huku akiwa na amri kuu katika nyumba, kama ilivyo katika ndoa za kawaida.

Wanaume hao ni Paulo Sabuni ‘Baba Kaela’ (60) ambaye ndiye mume mkubwa na Arcado Mlele (45) ambaye ni mume mdogo.

Taarifa za kuwapo kwa ndoa hiyo ya aina yake, ziliifikia Globu ya Jamii na kufanyiwa uchunguzi kwa zaidi ya wiki tatu, na hatimaye katikati ya wiki hii, wahusika walikubali wao wenyewe kuzungumzia suala hilo. Kwa mujibu wa maelezo ya mwanamke huyo ambaye alionekana kuwa msemaji wa familia hiyo, yeye na mumewe mkubwa, walifika kijijini hapo miaka 24 iliyopita, wakitoka kijiji cha Usumbwa mpakani mwa Chunya, Mbeya na Tabora.

Wakiwa kijijini hapo mume wake aliendelea kufanya kazi ya ukulima wakati yeye mama (Veronica), pamoja na kilimo hujihusisha na upishi na uuzaji wa pombe ya kienyeji iitwayo kayoga.

Mwanamke huyo ambaye amesema ana watoto wanne, Alfred (20), binti mwenye miaka 16 (ambaye ameolewa) na wengine wawili wa kiume, mmoja akisoma darasa la sita na mdogo ana miaka saba, amesema hana shida na waume wake.

Ingawa wanandoa hao walizungumza kwa hadhari, majirani walikiri kuwa mwanamke huyo anaishi na wanaume hao wawili kwa amani na kwamba mwanamke huyo ndiye mwenye sauti na si waume zake.

“Si siri tena sasa, tumeshawazoea, kwani wanaishi kwa amani ila yule mume mdogo anaishi kwenye nyumba aliyoachiwa na marehemu baba yake, lakini anashinda kwa mume mkubwa, ambapo inajulikana kijijini hapa kuwa ni nyumba kubwa. “Basi pale ni mambo yote, kula na kunywa, mama huyu amewapangia zamu wanaume hao kama afanyavyo mume mwenye wake wengi. 

Ama kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni,” alisema mkazi mmoja kwa masharti ya jina lake kutoandikwa gazetini. Ilielezwa, kwamba wanaume hao wana akili timamu na hawatumii kilevi cha pombe kama ilivyo kwa mke wao.

Hata hivyo, mume mkubwa anapewa sifa za upole tofauti na mume mdogo anayetajwa kuwa mkorofi kiasi cha mara kadhaa kumchapa makofi mkewe anapomuudhi.

Majirani wanadai kwamba Mama Kaela na mumewe Paulo, walipofika kijijini hapo, walipokewa na kuishi maisha ya kawaida, lakini baadaye mama huyo alianza kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Arcado, ambaye naye alilazimika kuachana na mkewe wa ndoa anayefahamika kijijini hapo kwa jina la Mama Pere.

Ilielezwa na mashuhuda hao kwamba mume mkubwa alipobaini uhusiano huo, alikuja juu, lakini mwanamke huyo inadaiwa alimweleza mumewe huyo, atake asitake lazima wataishi wawili, vinginevyo ataachana naye, ndipo mume mkubwa alipokubali kuishi na mume mwenza.

Katika maisha ya kawaida katika familia hiyo, inaelezwa kwamba katika baadhi ya siku ikitokea kuwa mama huyo amechoka kupika, mume mdogo huchukua jukumu la kupika na kumwandalia chakula na maji ya kuoga mume mkubwa.

“Lakini mara nyingi kwa mfano, ikiwa ni zamu ya mama huyo kulala kwa mumewe mkubwa, basi humfulia nguo zake kisha anakwenda kwa mumewe mdogo nako anamfulia nguo.

“Ndivyo wanavyoishi, nasi sasa tumewazoea ila yule mama ni mkali na ana sauti pale kwake kwa wanaume wale ila tunaona kama ana wivu sana kwa huyu mdogo ambaye naye pia ana wivu kwa mkewe huyo, labda anahofia kuwa mama huyo anaweza kuongeza mwanamume mwingine,” anasema mmoja wa majirani hao.

Hakuna mazuri yasiyokuwa na machungu, japo familia hiyo inaelezwa kuwa na amani, mtoto wao mdogo nusura avuruge uhusiano wa wanandoa hao, baada ya kuibuka mzozo wakati wa maandalizi ya ubatizo wake.

Kwa sababu anazojua mama, ingawa inafahamika kuwa wote ni watoto wa mume mkubwa, mke huyo katika hati za ubatizo aliandikisha ubini wa mtoto huyo kuwa ni Mlele (akimaanisha kuwa mtoto wa mume mdogo), lakini mume mkubwa aliweka pingamizi kanisani akidai yeye ndiye baba halali wa mtoto huyo.

Kwa mujibu wa mwanamke huyo, yeye na Arcado ni waumini wa madhehebu ya Katoliki wakati Paulo ni Mpentekoste. Madai ya mzozo wa uhalali wa `ubaba’ wa mtoto huyo, yalithibitishwa na baadhi ya wakazi wa kijiji hicho, akiwamo mwalimu wa dini wa Kigango cha Kanisa Katoliki Uruira, Mashaka Abel. Walisema miaka sita iliyopita, mtoto huyo akiwa na umri wa mwaka mmoja, alifanyiwa taratibu za ubatizo, lakini ilishindikana, kutokana na wanaume hao, kila mmoja kudai ndiye baba mzazi wa mtoto.

“Lilikuwa jambo la kustaajabisha sana, kwani familia hiyo ilifanya maandalizi yote ya sherehe ya ubatizo wa mtoto huyo, lakini siku hiyo kanisani wakati huo ilikuwa ni kigango cha Katumba ambacho sasa ni Uruira, sakata lilianzia pale Padri alipomwuliza mama wa mtoto huyo ubini wa mtoto naye akasema ni Mlele.

“Hapo ndipo mume mkubwa alipopinga na kudai kuwa mtoto yule si wa Arcado bali wake na yeye ndiye baba halali. Padri hakuamini, aliuliza tena na tena na majibu yakawa ni yale yale, ndipo ubatizo ukashindikana,” alisema Katekista Abel.

Kazi ya kutafuta undani wa ndoa hiyo haikuwa rahisi kutokana na mazingira ya woga na usiri uliokusudiwa kubaki, ambapo awali mama alisema kwamba mume wake ni Paulo pekee japo siku ambayo mwandishi wa habari hizi alifika kijijini hapo na baadaye nyumbani kwa wanandoa hao na kumkuta mume mdogo (Arcado akimsaidia mkewe kukoroga pombe. Awali katika utambulisho, walidai kuwa ni mtu na mdogo wake na kusita kuzungumzia maisha yao ya kifamilia.

Mke wao ambaye alionekana wazi kuwa ni msemaji mkuu alifoka na kuja juu, akidai kuwa hayuko tayari kuzungumzia uhusiano wake na wanaume hao wawili, ingawa alikiri kuwa wanaishi pamoja.

"Kwa hiyo umefunga safari yote hii kutoka huko ulikotoka ili uje kwangu mie Veronica … nasema sitaki kabisa mtu kuja hapa na kutaka kunivurugia mpangilio wa maisha yangu, kwanza nani alikueleza hayo, wambea wakubwa hao yanawahusu nini watu hao?” alihoji.

“Mie mume wangu ni huyu Paulo basi … sasa leo umeniachia vurugu ndani ya nyumba nitapigwa na huyo mume wangu Paulo, kwani mmenishikisha ugoni?” alifoka Mama Kaela. Hata hivyo, mume mkubwa alidai kuwa hatamwadhibu mkewe huyo na kwamba wataendelea kuishi pamoja na mdogo wake Arcado kwa amani. Hata hivyo, akina mama wengi kijijini hapo wanalaani kitendo cha mama huyo kuishi na wanaume wawili ambapo waliomba uongozi wa Kanisa uingilie kati, ili mama huyo aweze kufunga ndoa na mume mmoja.

Lakini kwa upande mwingine, baadhi walimpongeza mwanamke huyo wakidai kuwa kitendo hicho ni cha kijasiri kwa mwanamke, kumudu kuishi na wanaume wawili na kuwa na mamlaka juu yao.


MWANAMKE mkazi wa kijiji cha Ikandamoyo, wilayani Katavi, Veronica Saleh ‘Mama Kaela’ (50), amefanya uamuzi adimu wa kuolewa na wanaume wawili ambao anaishi nao kijijini hapo.

Kijiji hicho kipo umbali wa takribani kilometa 30 kutoka mjini hapa katika Jimbo la Katavi linalowakilishwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda.

Pamoja na ndoa hiyo iliyowezeshwa na mume mkubwa kukubali kuishi na mume mdogo, imeelezwa kuwa mwanamke huyo ndiye ‘aliyewaoa’ wanaume hao kwa zaidi ya miaka saba sasa, huku akiwa na amri kuu katika nyumba, kama ilivyo katika ndoa za kawaida.

Wanaume hao ni Paulo Sabuni ‘Baba Kaela’ (60) ambaye ndiye mume mkubwa na Arcado Mlele (45) ambaye ni mume mdogo.

Taarifa za kuwapo kwa ndoa hiyo ya aina yake, ziliifikia Globu ya Jamii na kufanyiwa uchunguzi kwa zaidi ya wiki tatu, na hatimaye katikati ya wiki hii, wahusika walikubali wao wenyewe kuzungumzia suala hilo. Kwa mujibu wa maelezo ya mwanamke huyo ambaye alionekana kuwa msemaji wa familia hiyo, yeye na mumewe mkubwa, walifika kijijini hapo miaka 24 iliyopita, wakitoka kijiji cha Usumbwa mpakani mwa Chunya, Mbeya na Tabora.

Wakiwa kijijini hapo mume wake aliendelea kufanya kazi ya ukulima wakati yeye mama (Veronica), pamoja na kilimo hujihusisha na upishi na uuzaji wa pombe ya kienyeji iitwayo kayoga.

Mwanamke huyo ambaye amesema ana watoto wanne, Alfred (20), binti mwenye miaka 16 (ambaye ameolewa) na wengine wawili wa kiume, mmoja akisoma darasa la sita na mdogo ana miaka saba, amesema hana shida na waume wake.

Ingawa wanandoa hao walizungumza kwa hadhari, majirani walikiri kuwa mwanamke huyo anaishi na wanaume hao wawili kwa amani na kwamba mwanamke huyo ndiye mwenye sauti na si waume zake.

“Si siri tena sasa, tumeshawazoea, kwani wanaishi kwa amani ila yule mume mdogo anaishi kwenye nyumba aliyoachiwa na marehemu baba yake, lakini anashinda kwa mume mkubwa, ambapo inajulikana kijijini hapa kuwa ni nyumba kubwa. “Basi pale ni mambo yote, kula na kunywa, mama huyu amewapangia zamu wanaume hao kama afanyavyo mume mwenye wake wengi. 

Ama kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni,” alisema mkazi mmoja kwa masharti ya jina lake kutoandikwa gazetini. Ilielezwa, kwamba wanaume hao wana akili timamu na hawatumii kilevi cha pombe kama ilivyo kwa mke wao.

Hata hivyo, mume mkubwa anapewa sifa za upole tofauti na mume mdogo anayetajwa kuwa mkorofi kiasi cha mara kadhaa kumchapa makofi mkewe anapomuudhi.

Majirani wanadai kwamba Mama Kaela na mumewe Paulo, walipofika kijijini hapo, walipokewa na kuishi maisha ya kawaida, lakini baadaye mama huyo alianza kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Arcado, ambaye naye alilazimika kuachana na mkewe wa ndoa anayefahamika kijijini hapo kwa jina la Mama Pere.

Ilielezwa na mashuhuda hao kwamba mume mkubwa alipobaini uhusiano huo, alikuja juu, lakini mwanamke huyo inadaiwa alimweleza mumewe huyo, atake asitake lazima wataishi wawili, vinginevyo ataachana naye, ndipo mume mkubwa alipokubali kuishi na mume mwenza.

Katika maisha ya kawaida katika familia hiyo, inaelezwa kwamba katika baadhi ya siku ikitokea kuwa mama huyo amechoka kupika, mume mdogo huchukua jukumu la kupika na kumwandalia chakula na maji ya kuoga mume mkubwa.

“Lakini mara nyingi kwa mfano, ikiwa ni zamu ya mama huyo kulala kwa mumewe mkubwa, basi humfulia nguo zake kisha anakwenda kwa mumewe mdogo nako anamfulia nguo.

“Ndivyo wanavyoishi, nasi sasa tumewazoea ila yule mama ni mkali na ana sauti pale kwake kwa wanaume wale ila tunaona kama ana wivu sana kwa huyu mdogo ambaye naye pia ana wivu kwa mkewe huyo, labda anahofia kuwa mama huyo anaweza kuongeza mwanamume mwingine,” anasema mmoja wa majirani hao.

Hakuna mazuri yasiyokuwa na machungu, japo familia hiyo inaelezwa kuwa na amani, mtoto wao mdogo nusura avuruge uhusiano wa wanandoa hao, baada ya kuibuka mzozo wakati wa maandalizi ya ubatizo wake.

Kwa sababu anazojua mama, ingawa inafahamika kuwa wote ni watoto wa mume mkubwa, mke huyo katika hati za ubatizo aliandikisha ubini wa mtoto huyo kuwa ni Mlele (akimaanisha kuwa mtoto wa mume mdogo), lakini mume mkubwa aliweka pingamizi kanisani akidai yeye ndiye baba halali wa mtoto huyo.

Kwa mujibu wa mwanamke huyo, yeye na Arcado ni waumini wa madhehebu ya Katoliki wakati Paulo ni Mpentekoste. Madai ya mzozo wa uhalali wa `ubaba’ wa mtoto huyo, yalithibitishwa na baadhi ya wakazi wa kijiji hicho, akiwamo mwalimu wa dini wa Kigango cha Kanisa Katoliki Uruira, Mashaka Abel. Walisema miaka sita iliyopita, mtoto huyo akiwa na umri wa mwaka mmoja, alifanyiwa taratibu za ubatizo, lakini ilishindikana, kutokana na wanaume hao, kila mmoja kudai ndiye baba mzazi wa mtoto.

“Lilikuwa jambo la kustaajabisha sana, kwani familia hiyo ilifanya maandalizi yote ya sherehe ya ubatizo wa mtoto huyo, lakini siku hiyo kanisani wakati huo ilikuwa ni kigango cha Katumba ambacho sasa ni Uruira, sakata lilianzia pale Padri alipomwuliza mama wa mtoto huyo ubini wa mtoto naye akasema ni Mlele.

“Hapo ndipo mume mkubwa alipopinga na kudai kuwa mtoto yule si wa Arcado bali wake na yeye ndiye baba halali. Padri hakuamini, aliuliza tena na tena na majibu yakawa ni yale yale, ndipo ubatizo ukashindikana,” alisema Katekista Abel.

Kazi ya kutafuta undani wa ndoa hiyo haikuwa rahisi kutokana na mazingira ya woga na usiri uliokusudiwa kubaki, ambapo awali mama alisema kwamba mume wake ni Paulo pekee japo siku ambayo mwandishi wa habari hizi alifika kijijini hapo na baadaye nyumbani kwa wanandoa hao na kumkuta mume mdogo (Arcado akimsaidia mkewe kukoroga pombe. Awali katika utambulisho, walidai kuwa ni mtu na mdogo wake na kusita kuzungumzia maisha yao ya kifamilia.

Mke wao ambaye alionekana wazi kuwa ni msemaji mkuu alifoka na kuja juu, akidai kuwa hayuko tayari kuzungumzia uhusiano wake na wanaume hao wawili, ingawa alikiri kuwa wanaishi pamoja.

"Kwa hiyo umefunga safari yote hii kutoka huko ulikotoka ili uje kwangu mie Veronica … nasema sitaki kabisa mtu kuja hapa na kutaka kunivurugia mpangilio wa maisha yangu, kwanza nani alikueleza hayo, wambea wakubwa hao yanawahusu nini watu hao?” alihoji.

“Mie mume wangu ni huyu Paulo basi … sasa leo umeniachia vurugu ndani ya nyumba nitapigwa na huyo mume wangu Paulo, kwani mmenishikisha ugoni?” alifoka Mama Kaela. Hata hivyo, mume mkubwa alidai kuwa hatamwadhibu mkewe huyo na kwamba wataendelea kuishi pamoja na mdogo wake Arcado kwa amani. Hata hivyo, akina mama wengi kijijini hapo wanalaani kitendo cha mama huyo kuishi na wanaume wawili ambapo waliomba uongozi wa Kanisa uingilie kati, ili mama huyo aweze kufunga ndoa na mume mmoja.

Lakini kwa upande mwingine, baadhi walimpongeza mwanamke huyo wakidai kuwa kitendo hicho ni cha kijasiri kwa mwanamke, kumudu kuishi na wanaume wawili na kuwa na mamlaka juu yao.

HIVI NDIYO UMATI WA WATU ULIVYOJITOKEZA KATIKA MAZISHI YA MAMA WA WANAMZIKI BARNABA





Barnaba akiagana na Mama ake kwa mara ya mwisho.....!!





Madee akiwa na Lady Naa......!!



Joh Makini baada ya Kuaga Mwili.....!!

Baadhi ya wanakikundi wanaounda Tanzania House of Talent (T.H.T)








Hapa mwili ukiwa umewasili makaburini tayari kabisa kwa maziko...!





Barnaba akitupa mchanga wa mwisho kwenye kaburi la marehemu mama yake



Mume wa Bi Mariamu Arubeth akiweka mchanga kaburini...!!

Jeneza likiwa ndani ya kaburi tayari kwa kuanza kufukia na mchanga.....!

Hyper Man HK alikuwepo pembeni na mwanamuziki Shilole...!!

Producer Lamar wa Fishacrab Studio alikuwepo pia...!

Hali ile ya uchungu na kulia sana ilipelekea Barnaba kukosa
nguvu na kuzimia kwa dakika kadhaa...





Baada ya kuzinduka akisaidiwa kuingia kwenye gari kuwaishwa
Hospital kutokana na kupoteza nguvu kabisa...!!










Mume wa Marehemu akisimika msalaba kaburini

Msemaji wa familia akisoma historia fupi ya
marehemu Mariamu Arubeth...!!




Msemai wa Familia akitoa maelekezo kwa waombolezaji mara
baada ya kumaliza shuguli a maziko...!!

Umati wa waombolezaji wakitawanyika makaburini baada
ya shuguli ya mazishi kukamilika...!!





Barnaba akiagana na Mama ake kwa mara ya mwisho.....!!





Madee akiwa na Lady Naa......!!



Joh Makini baada ya Kuaga Mwili.....!!

Baadhi ya wanakikundi wanaounda Tanzania House of Talent (T.H.T)








Hapa mwili ukiwa umewasili makaburini tayari kabisa kwa maziko...!





Barnaba akitupa mchanga wa mwisho kwenye kaburi la marehemu mama yake



Mume wa Bi Mariamu Arubeth akiweka mchanga kaburini...!!

Jeneza likiwa ndani ya kaburi tayari kwa kuanza kufukia na mchanga.....!

Hyper Man HK alikuwepo pembeni na mwanamuziki Shilole...!!

Producer Lamar wa Fishacrab Studio alikuwepo pia...!

Hali ile ya uchungu na kulia sana ilipelekea Barnaba kukosa
nguvu na kuzimia kwa dakika kadhaa...





Baada ya kuzinduka akisaidiwa kuingia kwenye gari kuwaishwa
Hospital kutokana na kupoteza nguvu kabisa...!!










Mume wa Marehemu akisimika msalaba kaburini

Msemaji wa familia akisoma historia fupi ya
marehemu Mariamu Arubeth...!!




Msemai wa Familia akitoa maelekezo kwa waombolezaji mara
baada ya kumaliza shuguli a maziko...!!

Umati wa waombolezaji wakitawanyika makaburini baada
ya shuguli ya mazishi kukamilika...!!

BAADA YA KURUSHIWA CHUPA AKIWA STEJINI OMMY DIMPOZ AOMBA MSAMAHA KWA MARA YA PILI.


Ommy Dimpoz kwa mara nyingine ameamua kupaaza sauti yake na kuwaomba watanzania wamsamehe kwa kauli zake mbaya kuhusu marehemu Ngwea....

Sambamba na msamaha huo,Ommy anadai kuwa amejifunza kutokana na kosa lake na kwamba hatarudia tena...

Uamuzi wa kuomba msamaha kwa mara ya pili umekuja baada ya msanii huyu kupigwa mawe mjini Dodoma hivi juzi


Hii ni kauli yake kupitia ukurasa wake wa facebook:


Ommy Dimpoz kwa mara nyingine ameamua kupaaza sauti yake na kuwaomba watanzania wamsamehe kwa kauli zake mbaya kuhusu marehemu Ngwea....

Sambamba na msamaha huo,Ommy anadai kuwa amejifunza kutokana na kosa lake na kwamba hatarudia tena...

Uamuzi wa kuomba msamaha kwa mara ya pili umekuja baada ya msanii huyu kupigwa mawe mjini Dodoma hivi juzi


Hii ni kauli yake kupitia ukurasa wake wa facebook:

MFAHAMU MKE WA RIDHIWANI KIKWETE NA UJUMBE WAKE

Nakupongeza mke wangu kwa mafanikio yetu. Mungu atupe na zaidi ya hili.
Nakupongeza mke wangu kwa mafanikio yetu. Mungu atupe na zaidi ya hili.
Nakupongeza mke wangu kwa mafanikio yetu. Mungu atupe na zaidi ya hili.
Nakupongeza mke wangu kwa mafanikio yetu. Mungu atupe na zaidi ya hili.

MAMA ASIYE NA HURUMA AMTUPA MTOTO KISIMANI BAADA YA KUJIFUNGUA

Sources state they saw the little unlucky child later and when they came for his rescue he was already swollen and floating lifelessly on the surface of the the dim water. Some women don't deserve to be called mothers.

Tears poured from neighbours, especially a young woman who has been trying to give birth for four years to no avail, as the police came to fetch out the baby from the well.

After a quick search by the police the mother's blood and placenta was seen on the ground a couple of meter's away from the scene of the crime.

The main suspect is already on her heels as she was warned by her close friends that the police have been involved.

The picture above was given by a citizen journalist.
TOA MAONI YAKO HAPA
Sources state they saw the little unlucky child later and when they came for his rescue he was already swollen and floating lifelessly on the surface of the the dim water. Some women don't deserve to be called mothers.

Tears poured from neighbours, especially a young woman who has been trying to give birth for four years to no avail, as the police came to fetch out the baby from the well.

After a quick search by the police the mother's blood and placenta was seen on the ground a couple of meter's away from the scene of the crime.

The main suspect is already on her heels as she was warned by her close friends that the police have been involved.

The picture above was given by a citizen journalist.
TOA MAONI YAKO HAPA