Heka heka mitaa ya kati jamaa apokea mkwido na kipondo baada ya kushindwa kumlipa changudoa ujira wake.

Neema Samson (Changudoa) akiwa amemkaba mteja wake baada ya kushindwa kumlipa chake.
Joseph akizidi kupewa hali ngumu na Neema, pembeni wananchi wakianza kusogea eneo la tukio.
 Baada ya wananchi waliingilia kati zogo hilo baada ya kuona wanazidi kuvuruga amani mtaani kwao, waliamua kuwaweka mtu kati tayari kuwapeleka sehemu husika.
 

Wananchi waliamua kuwapandisha kwenye Bajaj tayari kuelekea kituo cha polisi.