Mafuriko na Mvua zinazoendelea kunyesha Dar- Es Salaam

Hii ndiyo hali haslisi ya barabara zetu ndani ya Jiji la Dar es Salaam. Miaka nenda rudi akuna kilichowezekana maneno matupu
Hawa ndiyo watu wa mabondeni wakiambiwa wahame waende mabwepande wanasema serikali sasa sijui kikubwa ni maisha yao au serikali. Mtanzania mgumu kufikiri na haya ndiyo majibu yake.