Baada ya Sintah, Nisha naye aogopa kumtangaza mpenzi wake. Aogopa wadada wa mjini
09:47Akiongea na gazeti moja maarufu la udaku nchini, Nisha amesema kuwa amejifunza kwa yaliyomtokea na sasa yupo mwangalifu sana na penzi lake, kwani anajua kina dada hawa hawatasita kufanya lolote ili mradi wakuchukulie mpenzi wako na kukuona ukiahangaika.
Hii inakuwa ni mara ya pili kwa msanii wa bongo movies kufanya kitendo kama hiki baada ya mwanadada Sintah naye kuamua kumficha mpenzi wake.
0 comments:
Post a Comment