Breaking News:Maskini Msanii M 2 the P Aliye Kuwa na Ngwear Naye Afariki Dunia

Taarifa kutoka vyanzo mbali mbali zinasema kuwa M TO THE P ambae walikuwa pamoja na Ngwair South Africa na walipelekwa wote hospitali ya ST. Hellen huku yeye akiwa bado ana hema, leo asubuhi taarifa zinasema nae amefariki.
TOA MAONI YAKO HAPA