Hivi ndivyo ilivyokuwa wakati wa maziko ya Jembe Ayoub Mlay
03:53Marehemu Ayoub Mlay akiwa anaagwa
Kaka na Baba mzazi wa marehemu Ayoub Mlay
Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akielekea kutoa heshima za mwisho
Hili ndilo kundi la Ayoub lijulikanalo kama "Jembe" famous in Dar maeneo ya Rose Garden
Marafiki wakibeba Geneza la Jembe Ayoub Mlay teyari kwa kupelekwa kwenye nyumba yake ya milele
Hili ndilo kaburi la Ayoub likiwa limepambwa kwa maua
0 comments:
Post a Comment