Komba ameshauri wabunge wanaochochea vurugu hapa nchini waende jeshini
wakajifunze uzalendo waache kuhubiri siasa za ubaguzi. akatolea mfano wa
mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni tundu lissu ambaye mara kadhaa
amekuwa akiingia katika mgogoro na bunge kwa kusababisha vurugu na
kutoweka kwa amani katika chombo hicho cha kutungia sheria za nchi.
Akaenda mbali na kusema kuna wabunge wanapenda kuuza sura na ndio wanahabari wanawapenda sana kuuzia habari zao.
Amevikemea vyombo vya habari kwa kuwa chanzo cha kukosekana kwa amani ya
nchi kwa kuandika habari za udaku na vurugu na badala ya kuandika
habari za maendeleo
TOA MAONI YAKO HAPA
0 comments:
Post a Comment