Mama Anna Kilango na Tundu Lissu nusura wazichape (Picha)

Yani huyo mama Same hatuna maji wala barabara yakuaminika analeta mambo ya kishost huko bungeni, aje huku Same tunashida naye, hakuna maji safi nasalama mwaka wa 51 huu sasa...
Picture and Habari by Mdau
TOA MAONI YAKO HAPA