Mke wa Boss wangu anadai mimba ni yangu-majanga


Mimi ni dereva namuendesha mke wa boss yangu toka nimeanza kazi hii yapata mwk mmoja sasa mke wa boss alianza mitego nikawa namvumilia kunasiku tulisafiri kwenda mtwara kwny biashara za huyu mama kufika kule yule mama alilipi chumba kimoja tu nakuniambia tutalala wote nanikikataa ndy itakuwa mwisho wa ajira nikikubali atafanya mpango wa kumshawishi boss aniongeze mshahara sikuwa najinsi nikala mzigo bila hata ya condom basi ndiyo ikawa mchezo kila tukitoka lazima mama boss anipe mzingo nakiukweli mshahara niliongezewa.sasa jana aliniita nakunieleza kuwa yeye ni mjamzito na mimi ndy mwny huo mzingo ila akanishauri niuchune kwa sababu mme anajuwa mkewe ni mjamzito.SASA WASIWASI WANGU AKIJA KUZALIWA MTOTO ANANIFANANA ITAKUWAJE?NA BOSS YANGU NI AFISA USALAMA WA TAIFA.naomba ushauri
TOA MAONI YAKO HAPA