DOKTA CHENI APATA MTOTO

Msanii wa filamu wa bongo Mahsein Awadh amepata mtoto wa kike hivi karibuni hali iliyosababisha msanii wa maigizo ambaye yupo karibu na msanii huyo Elizabeth Michael maarufu kwa jina la Lulu kumtakia maisha marefu yenye mafanikio mtoto huyo kupitia mtandao wa Instagram