Hivi ndivyo ilivyokuwa kwa Diamond akiwa anaelekea safarini Zanzibar kwenye msiba wa Bi. Kidude

 Diamond akiagana na ndugu zake teyari kwa safari ya kuelekea Zanzibar kwenye msiba wa Bi. Kidude
 Akiwa ndani ya uwanja wa ndege

 Bodigadi wa Diamond akiambatana nae kwenye safari ya Zanzibar