Mtwara yachafuka
22:15
Hali ya
usalama katika mji wa Mtwara toka jana asubuhi imekuwa ni tete. Hakuna mabasi
yanayoingia na kutoka katika mji huo toka asubuhi, kuna baadhi ya mitaa
matairi yamechomwa moto barabarani, magari ya FFU yametanda kila kona za
mji. Habari zilizotufikia hivi punde zimeeleza kuwa kwa sasa hakuna
mawasiliano ya televisheni ya Taifa TBC, milio ya mabomu inasikika kila
kona na hali ya utulivu sio ya kuridhisha, Askari wa zima moto
wamesambaa kuzima moto na kuna baadhi ya nyumba maeneno ya Shangani
zimechoma moto....
Kauli mbiu ya Mtwara sasa - "GESI HAITOKI HATA KWA BOMBA LA PENI"
Source: Chinga one blog
0 comments:
Post a Comment