TASWIRA ZA MLIPUKO WA BOMU KATIKA MKUTANO WA CHADEMA SOWETO JIJINI ARUSHA

Hali ilivyokuwa baada ya mlipuko.…
Hali ilivyokuwa baada ya mlipuko.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, akiwasili katika mkutano huo kwa helkopta.
Maelfu wakimpungia mikono Mbowe wakati akiwasili.
Watu wawili wanahofiwa kupoteza maisha na wengine zaidi ya 50 kujeruhiwa kutokana na mlipuko wa bomu lililolipuka kwenye mkutano wa Chadema katika eneo la Soweto, kata ya Kaloleni jijini Arusha, wakati wa kufunga kampeni za uchaguzi wa madiwani katika maeneo ya jiji hilo.