Huu ukiwa ni mwendelezo wa yaliyotokea huko Arusha maeneo ya Moshono

Jamaa akipewa msaada wa huduma ya kwanza baada ya kuzimia alipomuona ndugu yake aliyefukuliwa kutoka kwenye kifusi akiwa amekwishafariki.
Umma ukiangalia mmoja wa waliofariki kutokana na kifusi hicho cha udogo kilichowaangukia yapata wachimbaji 20 wiki hii ya Pasaka.