Mke afumaniwa na mumewe akitoa uroda kwa rafiki wa mume huko Chalinze....





TIMBWILI la aina yake  liliibuka  hivi  karibuni   katika  nyumba  ya  kulala  wageni  maeneo  ya  Chalinze Bagamoyo kufuatia mumewe aliyefahamika  kwa  jina  la  Abuu  kumnasa  mkewe  akiliwa  uroda  na  rafiki  yake  wa  karibu  aliyefahamika  kwa  jina  la  Benard Celestin.... Tukio hilo  la  aibu  lilitokea saa 11:00 alfajiri  ya   tarehe  27  march   mwaka  huu baada  ya  mumewe  kuweka  mitego  mikali ...