Ndege iliyo shindwa kutua kwenye kituo cha ndege nchini indonesia na kuelekea baharini jana

 Ndege iliposhindwa kusimama kwenye kiwanja na kujikuta ilielekea baharini huko nchini Indonesia
 wanaoonekana ni baadhi ya waokoaji na abiria walioponea chupuchupu kwenye ajali hiyo
anayepata msaada katikati ni rubani wa ndege hiyo.