Mwili wa Langa Kileo ukiwa nyumbani kwao Mikocheni Jijini Dar.
Langa enzi za uhai wake.…
Mwili wa Langa Kileo ukiwa nyumbani kwao Mikocheni Jijini Dar.
Langa enzi za uhai wake.
Ndugu wa marehemu wakiaga.
Jeneza lenye mwili wa marehemu Langa.
Ridhiwan Kikwete (kushoto) akiwa msibani.
Taratibu za mazishi ya msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Langa
Kileo zimeanza rasmi ambapo leo asubuhi ameagwa na familia yake
nyumbani kwao Mikocheni Jijini Dar. Waombolezaji wengine watapata muda
wa kumuaga mwanamuziki huyo saa 7 mchana na mazishi yanatarajiwa
kufanyika Makaburi ya Kinondoni jijini saa 9 alasiri.
About The Author: admin
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Suspendisse gravida tempus quam vel laoreet. Duis iaculis nulla non urna semper placerat. Sed eu lorem quis magna hendrerit dignissim eget eget augue.
0 comments:
Post a Comment